xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,065
- 5,890
Adriano hayupo ac millan mkuu, carlos bacca amedrop sana kiwango japo montela huwa anampanga hivo hivo, saiz attacking force ya millan inaongozwa na delofeou, suso na ocampo/Fernandez/lapadulaIla mbona matokeo yao yanasua sua cku hizi hta milan derby imeisha umaarufu kabisa shida ni nini mkuu kma pesa na rasilimali watu mbona wanazo kina carlos bacca na adriano mbona wachezaji wazuri why underperformance