Kazi zinasimama, Wototo wanatoroka mashuleni, shangwe kila kona…Siku kama ya Leo Gaucho anatwaliwa na AC Milan

Gang Chomba

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
20,649
4,782
Siku kama ya Leo Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka Ronaldo de assis Moreirra aliezaliwa Port Aregre Nchini Brazil alikubali kujiunga na klabu ya AC Milan ya Nchini Italia.

Kuanzia Siku hio Mpaka tarehe alioshuka kwa Ndege Binafsi katika Uwanja wa Ndege wa Malpensa umati mkubwa wa Watu ulikuwa ukishinda na kukesha huku wakiimba Nyimbo za kumsifu na kumtukuza Mwamba huyu katika Uwanja huo.

Siku ilipo wadia na Ndege kuzima injini hapo Malpensa huku taratiiibu Mlango ukifunguliwa takriban Watu 70 walipoteza fahamu na kuwahishwa katika Hospital za West Tennesse na wengine walikimbizwa katika kituo cha Afya cha Policlinicco kwa ajili ya Matibabu…

Wengine walipiga Magoti na wengine walinyoosha Mikono juu, kundi la washangiliaji la AC Milan likiongozwa na Luca Lucci wao walikuwa busy kuimba nyimbo za kumsifu na kumkaribisha Gaucho Klabuni hapo.

Unajuwa Gaucho alipotokea kwenye Mlango wa Ndege kilitokea nini?!

@acmilan_swahili🔴⚫️
IMG_2478.jpeg
 
Siku kama ya Leo Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka Ronaldo de assis Moreirra aliezaliwa Port Aregre Nchini Brazil alikubali kujiunga na klabu ya AC Milan ya Nchini Italia.

Kuanzia Siku hio Mpaka tarehe alioshuka kwa Ndege Binafsi katika Uwanja wa Ndege wa Malpensa umati mkubwa wa Watu ulikuwa ukishinda na kukesha huku wakiimba Nyimbo za kumsifu na kumtukuza Mwamba huyu katika Uwanja huo.

Siku ilipo wadia na Ndege kuzima injini hapo Malpensa huku taratiiibu Mlango ukifunguliwa takriban Watu 70 walipoteza fahamu na kuwahishwa katika Hospital za West Tennesse na wengine walikimbizwa katika kituo cha Afya cha Policlinicco kwa ajili ya Matibabu…

Wengine walipiga Magoti na wengine walinyoosha Mikono juu, kundi la washangiliaji la AC Milan likiongozwa na Luca Lucci wao walikuwa busy kuimba nyimbo za kumsifu na kumkaribisha Gaucho Klabuni hapo.

Unajuwa Gaucho alipotokea kwenye Mlango wa Ndege kilitokea nini?!

@acmilan_swahili🔴⚫️View attachment 3044639
Legendary Gang Chomba Abajaro moja Sinza kwa wajanja.

Endelea nini kilitokea?
 
Gaucho aliwin, kwa kuonesha nyongeza kwenye basic, akabeba timu mgongoni kwa umaridadi wa ufindi wake, na hili ndio jambo la msingi.

Nilikuwa na mategemeo mazito kwa neymar, ana kipaji kuliko gaucho lakini akashindwa kujitambua, yeye mbwembwe zinaanza badala ya basic, mwishowe akawa kama dancer tu mbele ya msanii fally ipupa huwezi onekana, maana fally anaimba na anajua kudance. Anamsubiri mtu ampige kidarizi, azunguke zunguke wakati timu inahitaji matokeo.

Aheshimiwe mnoo Ronaldinho.
 
Siku kama ya Leo Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka Ronaldo de assis Moreirra aliezaliwa Port Aregre Nchini Brazil alikubali kujiunga na klabu ya AC Milan ya Nchini Italia.

Kuanzia Siku hio Mpaka tarehe alioshuka kwa Ndege Binafsi katika Uwanja wa Ndege wa Malpensa umati mkubwa wa Watu ulikuwa ukishinda na kukesha huku wakiimba Nyimbo za kumsifu na kumtukuza Mwamba huyu katika Uwanja huo.

Siku ilipo wadia na Ndege kuzima injini hapo Malpensa huku taratiiibu Mlango ukifunguliwa takriban Watu 70 walipoteza fahamu na kuwahishwa katika Hospital za West Tennesse na wengine walikimbizwa katika kituo cha Afya cha Policlinicco kwa ajili ya Matibabu…

Wengine walipiga Magoti na wengine walinyoosha Mikono juu, kundi la washangiliaji la AC Milan likiongozwa na Luca Lucci wao walikuwa busy kuimba nyimbo za kumsifu na kumkaribisha Gaucho Klabuni hapo.

Unajuwa Gaucho alipotokea kwenye Mlango wa Ndege kilitokea nini?!

@acmilan_swahili🔴⚫️View attachment 3044639

Gang Chomba,​

kitambo sana, wakongwe wa JF ingawa mimi niliamua kuedit ID
 
Gaucho alikua na balaa sana alitulaza na viatu Madrid mechi moja alifunga faulo akionesha kama anapiga angle ya juu huku mpira ukipita chini ya mafeking baada ya kuruka mechi ilipoisha washabiki wa Madrid walisimama wote na kumpigia makofi mwamba huyo mtu alitusumbua sana aisee..
 
Gaucho alikua na balaa sana alitulaza na viatu Madrid mechi moja alifunga faulo akionesha kama anapiga angle ya juu huku mpira ukipita chini ya mafeking baada ya kuruka mechi ilipoisha washabiki wa Madrid walisimama wote na kumpigia makofi mwamba huyo mtu alitusumbua sana aisee..

Ile Mechi Beckham na Zidane wanasakiziana kwenda kumkaba Dinho 🤣😂🤣😂
 
Hayupo na hatotokea kama Dinho ambae alipo kuwa Uwanjani basi Malaika waliacha shughuli zao na kuanza kumtazama
Kuna world cup England waliiombea Brazil ishinde ili wakutane robo fainali.

Kilichotokea ni faulo katikati ya uwanja pembeni, golikipa ni Bruce wa England, mpigaji faulo ni Gaucho upande wa Brazil, hakuna binadamu yeyote chini ya jua aliyejuwa Gaucho anataka kufanya nini filimbi ya faulo ilivyopulizwa Gaucho anaupeleka mpira moja kwa moja wavuni huku kipa Bruce akiwa ameliacha goli hakuna anayeamini kama kuna binadamu mwenye uwezo ule.

Brazil wanakwenda nusu faili England hawaamini kama Gaucho ni binadamu au jini?
 
Naamini mkuu umeteleza tu kuandika hivi ulivyoandika.
Kamuangalie tena neymar, mguuni ana ufundi wa hali ya juu, mtundu mtundu saana mguuni, ila utundu wake ulikuwa na msaada mdogo sana kwa timu, hilo ni tatizo huwezi onekana bora kama timu haifaidiki na wewe.
Tofauti yao kubwa ni football IQ, Ronaldinho ana IQ kubwa ya soka, ila neymar mguuni ni fundi zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom