Homa kwa aina hii ya mwanaume

Homa kwa aina hii ya mwanaume

Hujasema kulegezea suruwali kidogo na kutembea kwa mwendo wa kutikisa kalio kama mdada!...kwiiikwiiii
 
boobookitty

Lakini wakuu hizi ni feelings zake, na amekaribisha wasichanawenzake (sio wamama/wanaume)kutoa ya kwao kuhusu wanaowaependa. Sasa hapa wengi badala ya kutoa ya kwao(kama kweli ni wasichana) wanamshutumu na hayo mawazo yake. Duh..!
 
Last edited by a moderator:
aa unapenda wa benki eti.. ulionaje rangi ya boxer. . . au ndio..... .
ila waliishakuelewa...
 
ukinywa sana fanta unapata ugonjwa unaitwa fantasia huu unasababisha matumizi ya nyeto kwa vijana.
 
Watoto mna tabu sana..wanawake wenzio wenye kujielewa wanaota wampate wapi mwanaume mwenye mapenz ya dhati,we unawaza mambo ya boxer nyeupe..
 
boobookitty

Kwaiyo wewe kila alie na sifa ulizoorozesha akikutokea jibu ni yes si ndio?
 
Last edited by a moderator:
mwanaume flan hivi akifungua pochi anatoa kwa bando tu hahangaiki kuzihesabu wekuundu, akipanda stagini ni fully manjonjo na kazi ya uhakika yaan uuuuuuuww shikamooo mpenzi
 
Unaonaje boxer kama huyo jamaa hajavaa mlegezo? Au wote wa type hii walikwisha kukaribisha ndani kwao?

Hivi ndivyo dunia ilivyo. Anayeshangaa, ujue ni mgeni. Wenyew wamekuckia na tayari wanajua cku nyingi kuwa watu dizaini yako mnawazimikia.

Lakin kwa jicho la pili mnazizimikia hela zao. Mnaota ndoto za maisha mteremko. Je, unadhani hao wanaume wafanyao kazi bank na wanakuzimikia??? Unadhani na wanafikiri vile ww unafikiri juu yao??? NENDA UKAPANGE FOLENI..., ukiipata hyo nafasi...fanya yako.

Wew mwanamke unampenda mwanaume awe hivi, mara awe vile. Naye mwanaume anampenda nwanamke awe hivi au vile. Je, ni na yupi kati yenu atakutana na hitaji lake awazalo nafsini mwake juu ya amtakaye??? Hayo ni mawazo ya wavulana na wasichana katka kipindi cha mpito. Ukijisahau na ukakivuka kipindi hicho cha mpito kwa matamanio....hasa wew mdada, dunia itakucheka na utabaki na uso uliosawajika .., coz muda wako wa kasi ya kung'ara na kupapatikiwa na men..ni mfupi mno. Men are the winner forever.

Hawana expiring date. God created this...and no one can change it. Mtakakuwa na pendo la thamani, lenye utulivu na sio lenye vurugu....mtapona hakika. Endeleeni kukanyagana. Kila cku chipukizi wa kike wapya na wakali wanamwagwa kwa hii dunia. Lecturer anaweza kumuoa std 7...na maisha yakawa murua. Je, wew ambaye cku zote umekuwa selective, unazeeka huku unajiona,

kioo kinakudanganya, kuzaa kwako ni ngekewa coz of abortion...akutake nani??? Ushakuwa screpa...na sababu ni kutamani kwako kusikokuwa na ukomo. Poleni wadada wa ivo. Poleni pia mlioguswa na maneno yangu kwa namna ya kuumizwa. Nia yangu ni kuweka bayana kile ninachoamini baada ya kutafiti.
 
Hivi ndivyo dunia ilivyo. Anayeshangaa, ujue ni mgeni. Wenyew wamekuckia na tayari wanajua cku nyingi kuwa watu dizaini yako mnawazimikia.

Lakin kwa jicho la pili mnazizimikia hela zao. Mnaota ndoto za maisha mteremko. Je, unadhani hao wanaume wafanyao kazi bank na wanakuzimikia??? Unadhani na wanafikiri vile ww unafikiri juu yao??? NENDA UKAPANGE FOLENI..., ukiipata hyo nafasi...fanya yako.

Wew mwanamke unampenda mwanaume awe hivi, mara awe vile. Naye mwanaume anampenda nwanamke awe hivi au vile. Je, ni na yupi kati yenu atakutana na hitaji lake awazalo nafsini mwake juu ya amtakaye??? Hayo ni mawazo ya wavulana na wasichana katka kipindi cha mpito. Ukijisahau na ukakivuka kipindi hicho cha mpito kwa matamanio....

hasa wew mdada, dunia itakucheka na utabaki na uso uliosawajika .., coz muda wako wa kasi ya kung'ara na kupapatikiwa na men..ni mfupi mno. Men are the winner forever. Hawana expiring date. God created this...and no one can change it. Mtakakuwa na pendo la thamani, lenye utulivu na sio lenye vurugu....mtapona hakika. Endeleeni kukanyagana. Kila cku chipukizi wa kike wapya na wakali wanamwagwa kwa hii dunia.

Lecturer anaweza kumuoa std 7...na maisha yakawa murua. Je, wew ambaye cku zote umekuwa selective, unazeeka huku unajiona, kioo kinakudanganya, kuzaa kwako ni ngekewa coz of abortion...akutake nani??? Ushakuwa screpa...na sababu ni kutamani kwako kusikokuwa na ukomo. Poleni wadada wa ivo. Poleni pia mlioguswa na maneno yangu kwa namna ya kuumizwa. Nia yangu ni kuweka bayana kile ninachoamini baada ya kutafiti.

Umeongea ukweli lakini tusiwazuie kutamani kila mtu anatamani awe na mtu wa hivi lakini circumstances zinazuia ndio maana unaona mabinti wengi wanapenda soap coz huko ndio kuna wanaume walioumbwa wakaumbika
 
Hivi ndivyo dunia ilivyo. Anayeshangaa, ujue ni mgeni. Wenyew wamekuckia na tayari wanajua cku nyingi kuwa watu dizaini yako mnawazimikia.

Lakin kwa jicho la pili mnazizimikia hela zao. Mnaota ndoto za maisha mteremko. Je, unadhani hao wanaume wafanyao kazi bank na wanakuzimikia??? Unadhani na wanafikiri vile ww unafikiri juu yao??? NENDA UKAPANGE FOLENI..., ukiipata hyo nafasi...fanya yako.

Wew mwanamke unampenda mwanaume awe hivi, mara awe vile. Naye mwanaume anampenda nwanamke awe hivi au vile. Je, ni na yupi kati yenu atakutana na hitaji lake awazalo nafsini mwake juu ya amtakaye??? Hayo ni mawazo ya wavulana na wasichana katka kipindi cha mpito. Ukijisahau na ukakivuka kipindi hicho cha mpito kwa matamanio....

hasa wew mdada, dunia itakucheka na utabaki na uso uliosawajika .., coz muda wako wa kasi ya kung'ara na kupapatikiwa na men..ni mfupi mno. Men are the winner forever. Hawana expiring date. God created this...and no one can change it. Mtakakuwa na pendo la thamani, lenye utulivu na sio lenye vurugu....mtapona hakika. Endeleeni kukanyagana. Kila cku chipukizi wa kike wapya na wakali wanamwagwa kwa hii dunia.

Lecturer anaweza kumuoa std 7...na maisha yakawa murua. Je, wew ambaye cku zote umekuwa selective, unazeeka huku unajiona, kioo kinakudanganya, kuzaa kwako ni ngekewa coz of abortion...akutake nani??? Ushakuwa screpa...na sababu ni kutamani kwako kusikokuwa na ukomo. Poleni wadada wa ivo. Poleni pia mlioguswa na maneno yangu kwa namna ya kuumizwa. Nia yangu ni kuweka bayana kile ninachoamini baada ya kutafiti.

Umeongea ukweli lakini tusiwazuie kutamani kila mtu anatamani awe na mtu wa hivi lakini circumstances zinazuia ndio maana unaona mabinti wengi wanapenda soap coz huko ndio kuna wanaume walioumbwa wakaumbika ukitembea huku barabarani huwapati the only comfort ni kuwa na imagination zako na kuangalia hayo masoap unakuta umeolewa na mme pua imejaa uso mzima mfupi kama kisokwe kidogo but hukuwa na choice utafanyaje unakuta unamuangalia alehandro ndio unaimagine ni mmeo
 
Back
Top Bottom