Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

Nashukuru kwa wishes mkuu. nami Nikutakie wewe, watakaosoma post hii, waJF kwa ujumula na waTanzania wenzangu kwa ujumla Merry xmass & happy new years. Mungu atujaaliye sote afya njema na upendo wa dhati kama wa Tanzania kwa mustakabali wa taifa hili kwetu sote na kwa vizazi vyetu vijavyo.


Na mie ninapenda kusema Merry Xmass kwanza kwa mama wa mapacha wangu Paloma.. kisha kwa kiwatengu na mkewe shansarie.. Arushaone na ubavu wake Lady doctor.. Erickb52 na mkewe Chocs.. Bishanga na mkewe The secretary.. Mr Rocky na ubavu wake Dena Amsi.. my small house babe Passion Lady na kibuzi chake Ruttashobolwa.. Nivea (miss u cwry)..

Pia ziwafikie dada yangu Heaven on Earth (miss u sis).. KOKUTONA.. Preta.. marejesho.. Kaizer.. Mentor.. kabanga.. Bujibuji (mzee wa mtaroni).. DEMBA.. kingasti.. Evelyn Salt.. charming lady.. Tyta.. Mamndenyi (mama chama).. Mshana Jr.. lady furahia.. Madame B (mama wa saccos kadhaa).. Asnam.. Mpwa Elli.. Baba V (anatafutwa kokote alipo).. KakaKiiza.. Ennie.. Eiyer.. Vin Diesel (umebaniwa kona gani sku hizi)..? Avanti.. Excel.. Ablessed.. Karucee.. TANMO.. Khantwe.. Nazjaz.. miss chagga.. miss neddy.. Honey Faith.. YNNAH.. @gfsown..

Special greetings kwa Mtambuzi.. The Boss.. OKW BOBAN SUNZU.. Daudi Mchambuzi.. EMT.. Matola.. Nyani Ngabu.. Babu Asprin (hondo hondo mlezi wa wana) lara 1.. ASHA dii.. Kiranga.. Crashwise.. Safari_ni_Safari.. Kaunga. Jasusi.. figganigga.. watu8.. Mwita Maranya.. Abunuas.. Ben Saanane (ugua pole kamanda).. Kongosho.. christine ibrahim.. grafani11.. Dingswayo.. zumbemkuu.. BAK.. LIKUD.. Kibanga Ampiga Mkoloni.. Ndahani.. Jerrymsigwa.. MUSSOLIN.... faiza Fox..

Bila ya kusahau uongozi mzima wa JF tukianzia kwa Mr. Melon a pia Invisible pamoja na Paw na wengine wote ambao sijawataja hapa..

Ninawatakia sikukuu njema ya mwisho wa mwaka.. Ninashukuru sana kwa kuwa nyote hapa mmekuwa ni sehemu ya maisha yangu kwa mwaka huu unaoishia..

Merry Xmass Guys & Happy New Year..
 
Kama kweli hakuna mwingine come out and say this.

Your the only one Rogie.Huyo kiwatengu anataka kunigombanisha na wewe tu hana lolote.Relax hny you known there is no one like you.Love u sana my hubby Rogie

Bazaz wote please stay away from me jamani mie mke wa mtu atiii na wapambe wote wakianziwa na kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
Thanks kwa wish BAK.Msimu ujao nahamia arsenal atiiii
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Karibu sana nyumbani, kutakuwa na sherehe kubwa ya kukukaribisha rasmi itakayohudhuriwa na wanachama, wapenzi na mashabiki wote wa Gunners hapa jamvini.

Thanks kwa wish BAK.Msimu ujao nahamia arsenal atiiii
 
Your the only one Rogie.Huyo kiwatengu anataka kunigombanisha na wewe tu hana lolote.Relax hny you known there is no one like you.Love u sana my hubby Rogie

Bazaz wote please stay away from me jamani mie mke wa mtu atiii na wapambe wote wakianziwa na kiwatengu

Mmmh shouger kumbe ndo huwa unakuwa mdogo namna hii 😛😛😛
 
Last edited by a moderator:
Your the only one Rogie.Huyo kiwatengu anataka kunigombanisha na wewe tu hana lolote.Relax hny you known there is no one like you.Love u sana my hubby Rogie

Bazaz wote please stay away from me jamani mie mke wa mtu atiii na wapambe wote wakianziwa na kiwatengu

ha ha ha ha.... hata wewe mkuu utafiti ni bazazi?
check this alert...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom