Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Mh! mimi nadhani kwa siasa zetu za kiswahili CDM walijitahidi kukusanya watu wengi ambao wote wanaonekana wanawaunga mkono! ilhali TV ikionyesha tukio hilo live kitu ambacho kinazidi kusisimua watu wengine ambao huenda walikuwa na mashaka na chama hicho!...
Naona ni vizuri kunoa zaidi mikakati ya chadema...., lkn nohofia mambo mawili, Kwanza kuwachanganya watz waliozoea siasa zetu hizi za kiswahili, Pili Tusije tukaiua kabisa CCM maana pia mbele ya safari tutaihitaji kama chama imara cha upinzani....tusitegemee kuendelea kuwa na viongozi wazalendo kama kina dr slaa..!(kwani hata ccm walikuwa na mvuto kama cdm sasa)
Nawasilisha!
Naona ni vizuri kunoa zaidi mikakati ya chadema...., lkn nohofia mambo mawili, Kwanza kuwachanganya watz waliozoea siasa zetu hizi za kiswahili, Pili Tusije tukaiua kabisa CCM maana pia mbele ya safari tutaihitaji kama chama imara cha upinzani....tusitegemee kuendelea kuwa na viongozi wazalendo kama kina dr slaa..!(kwani hata ccm walikuwa na mvuto kama cdm sasa)
Nawasilisha!