- Thread starter
- #41
Mbona husemi kama Tz ina ardhi ya kilimo kubwa kuliko ya Rwanda
Watanzania inabidi tuache visababu vya kutafuta kwa tochi.
Inakuwa tunatafuta visingizio singizio tu.
Kazi kweli kweli.
Mbona husemi kama Tz ina ardhi ya kilimo kubwa kuliko ya Rwanda
Inawezekana kama nchi tumekosa watu wenye busara wanaoweza kushauri vizuri kwa mamlaka ya juu,viongozi wa dini nao pia wamekuwa mazezeta,hawawezi kuona hatari zaidi ya kushangilia kuruhusu ibada wakati wanajua fika ni hatari kubwa sana,MAAFA tunajitakia wenyewe kwa ujuha wetu kuruhusu mabasi ya dar na mikoani kuendelea kuja na kutoka dsm mahali ambapo ni kitovu cha ugonjwa.
Ni muhimu kuomba MUNGU,Ila MUNGU alitupa akili ya kufikiria.Tz ilikuwa rahisi sana kuublock huu ugonjwa tungekuwa na viongozi wenye utashi wa kunusa hatari,tulianza kufunga shule wakati hakikuwa chanzo cha ugonjwa,ilitakiwa tuanze kupambana na chanzo,ila tulidhani tuko mbali na kwenye sayari nyingine.
Rwanda wapo 12million yes lakini ujue Arusha ni kubwa kuliko RwandaUnazungumzia nchi yenye population ya 12 milioni Tanzania tuko takriban milioni 55
Unajua Rwanda ina watu wangapi?Mkuu nchi kama Rwanda si nchi ya magharibi.
Tunazo raslimali za kutosha tunaweza kujisimamia wenyewe kwa chakula kwenye hili gonjwa.
Wasiwasi wetu ni njaa mkuu?
Unajua Rwanda ina watu wangapi?
Au unaandika tu huduma ya watu 12m utalinganisha na takribani 50m?
Rwanda wapo 12million yes lakini ujue Arusha ni kubwa kuliko Rwanda
So Rwanda wana scarcity ya resources kuliko sisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najilaumu kwa nn sikununua uraia ata wa nchi nyingine.
Watanzania ss ni watu wa ajabu sana huwa wanaenda kinyume siku zote.
Wakisema kila mtu akae ndani(lockdown) hamna kutoka mtakuja na lawama umu kuwa wamekurupuka watu wanakufa njaa.
Wasipo funga napo wanalalamika kuwa kwa nn hawafungi watu wakae ndani.
Mtu unasahau kabisa raia wa nchi yetu asilimia kubwa ni kipato cha siku kufanya kazi unakula unalala, ukimfungia ndani week watu watakufa zaidi ya ugonjwa.
Swali wewe uneshajiweka lockdown?.
Mbona swali dogo tu.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
kwa mfano ukiambiwa kesho ni lock down..
Una akiba ya kiasi gani ya chakula nyumbani kwako?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Mkuu umeambiwa lockdown zinatambua uwezo tofauti kiuchumi wa watu. Zaidi ukaambiwa hakuna atakaye kufa njaa.
Umeulizwa kama hutaki tupe sababu zako ikibidi njia mbadala kama unayo.
Vipi au unataka ugawiwe mapesa?
Haya uliweza kuyasoma kwenye huu uzi:
View attachment 1420653
HIVI WEWE kwa mawazo yako unadhani magufuli atatoa chakula bure?.
Kwa muda wote wa lockdown?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Shughuli ambazo sio za lazima ni kama zipi?
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Hivi ukiamua wewe mwenyew kujifungia kuna tatizo? Kuna makundi mawili tulio chagua kufa kwa corona na mnaotaka kufa kwa njaaa chagua wewe
Sent using Jamii Forums mobile app