sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Ugonjwa redeyes ni ugonjwa hatari hatari hatari sana
Yaani umenishika ndani ya wiki moja hakuna rangi nimeacha kuona.
Nimenawa mikono mpaka nikawa mzungu ghafla
Nauliza swali moja tu
Serikali ilitangaza ugongwa hauna dawa sawa tumevumilia umetupiga sasa nauliza je
Sideeffect za huu ugonjwa ni zipi?
Mimi nimepona leo lakini aise nimepatwa na UONI HAFIFU JE ili nalo halitibiki?
Kama ni kweli tujiandae kwa janga kubwa laja.
Yaani umenishika ndani ya wiki moja hakuna rangi nimeacha kuona.
Nimenawa mikono mpaka nikawa mzungu ghafla
Nauliza swali moja tu
Serikali ilitangaza ugongwa hauna dawa sawa tumevumilia umetupiga sasa nauliza je
Sideeffect za huu ugonjwa ni zipi?
Mimi nimepona leo lakini aise nimepatwa na UONI HAFIFU JE ili nalo halitibiki?
Kama ni kweli tujiandae kwa janga kubwa laja.