Hoja za Kamati ya PAC zinavyokinzana kuhusu Escrow akaunti kama ni fedha ya umma

Anayelipa VAT ni end user, invoices zote zinakuwa raised na IPTL na wana raise two invoices, ya capacity charge, na ya utility. Kwa mujibu wa mkataba wa Richmond, all local taxes zitalipwa na Tanesco!. Hapa Tanesco ndie collecting agent wa TRA. Invoice ya IPTL ikienda Tanesco, inakuwa na VAT ambapo hao Tanesco, ndio wakati wa kulipa IPTL, walitakiwa kulipa ile invoice na VAT kuipeleka TRA. Sasa kama Tanesco waliremit kila kitu kwenye escrow, kosa ni la nani?!.

Siku zote ikitokea kodi stahiki hazijalipwa, huwa zinalipwa tuu wakati wowote, TRA watakuita, watakupa mpaka tarehe fulani uwe umelipa, muda huo ukifika kuna penalty fulani unalipishwa, hizi ni kesi za madai na sio jinai!.

Pasco

Kwa nini watu wanashindwa kusema kuwa VAT ilikuwa inakatwa moja kwa moja na Tanesco. Huu siyo utaratibu wa kawaida. Unataja Richmond lakini mbona Richmond ni ya juzi na IPTL ni kongwe.? Naomba tupewe uhakika kabisa kama kwenye pesa iliyokuwepo Escrow Account ndani yake mlikuwa na VAT.

Hata kama pesa zilizokuwa Escrow Account zilikuwa na VAT kulipwa IPTL sioni tatizo kabisa kwani kwa utaratibu wa kawaida kabisa IPTL ndiyo wanabidi walipe hiyo kodi baada ya kuikusanya Tanesco. VAT siyo withholding tax

Kitu kibaya kabisa katika hii report ni kuwa wachunguzi wameshindwa kuja na definite figure ya pesa inazosemekana siyo mali ya IPTL au VIP. Kwa nini.? Hata CAG ameshindwa kupambanua mahesabu ambayo ndiyo kazi yake na anaishia kuandika kisiasa.?

Ni aibu kabisa.
 
VAT ni 17% ya malipo au kwa kifupi Tanesco wasingeweza kujua kiwango cha VAT kabla ya kujua malipo halisi kwenda IPTL ,kwa hili ni kweli kuwa hela ya TRA kwa maana ya Kodi ya Ongezeko la thamani (VAT)ni sehemu ya pesa ya kwenye account ya Escrow.Hii ni hesabu ndogo ambayo hata mtoto wa form three anaijua

Inashangaza kama kweli hii ni hesabu form 3 CAG wameshindwa kuifanya. Pesa zilizokuwa zinapelekwa kwenye Escrow Account zilikuwa based on the invoices submitted by IPTL. Ukitumia invoice zile ni rahisi kabisa kujua VAT ni kiasi gani. Kuna wengine wanasema kuwa zile pesa zilizokuwa zinapelekwa Escrow Account zilikuwa hazina VAT. Haya ndiyo maswali sisi wananchi tunataka tupewe majibu lakini hatupati. Kwa nini.?
 
Umeongea vyema,wanaosema kulikuwa hakuna kodi ni wale waliopotoshwa na AG kuwa kulikuwa na ''Waiver'', TRA na BOT wanakubali kuwa kulikuwa na kodi, na sio jukumu la AG kutoa Waiver.
Kodi imekwenda na maji hapo....
Kwa kuwa account ya Escrow ni ya malipo na TRA hawakutoa Waiver wala TAX exemption lazima iwepo kodi ya VAT.


Inashangaza kama kweli hii ni hesabu form 3 CAG wameshindwa kuifanya. Pesa zilizokuwa zinapelekwa kwenye Escrow Account zilikuwa based on the invoices submitted by IPTL. Ukitumia invoice zile ni rahisi kabisa kujua VAT ni kiasi gani. Kuna wengine wanasema kuwa zile pesa zilizokuwa zinapelekwa Escrow Account zilikuwa hazina VAT. Haya ndiyo maswali sisi wananchi tunataka tupewe majibu lakini hatupati. Kwa nini.?
 
Kwa nini watu wanashindwa kusema kuwa VAT ilikuwa inakatwa moja kwa moja na Tanesco. Huu siyo utaratibu wa kawaida. Unataja Richmond lakini mbona Richmond ni ya juzi na IPTL ni kongwe.? Naomba tupewe uhakika kabisa kama kwenye pesa iliyokuwepo Escrow Account ndani yake mlikuwa na VAT.

Hata kama pesa zilizokuwa Escrow Account zilikuwa na VAT kulipwa IPTL sioni tatizo kabisa kwani kwa utaratibu wa kawaida kabisa IPTL ndiyo wanabidi walipe hiyo kodi baada ya kuikusanya Tanesco. VAT siyo withholding tax

Kitu kibaya kabisa katika hii report ni kuwa wachunguzi wameshindwa kuja na definite figure ya pesa inazosemekana siyo mali ya IPTL au VIP. Kwa nini.? Hata CAG ameshindwa kupambanua mahesabu ambayo ndiyo kazi yake na anaishia kuandika kisiasa.?

Ni aibu kabisa.
Mkuu KMV jana nilipata ufafanuzi, kwenye hela za escrow kulikuwa na VAT, IPTL alikuwa ndie collecting agent wa VAT kwa TRA, invoices za Escrow zilitoka IPTL na sio PAP, IPTL wa VAT Registered, PAP was not VAT registers hivyo hakuwa na obligation yoyote ya kulipa VAT, kwa nini BOT iliipa pesa kwa PAP ambayo sio VAT registered kwa invoices za IPTL ambayo ni VAT Registered?!.

Pasco.
 
Mkuu KMV jana nilipata ufafanuzi, kwenye hela za escrow kulikuwa na VAT, IPTL alikuwa ndie collecting agent wa VAT kwa TRA, invoices za Escrow zilitoka IPTL na sio PAP, IPTL wa VAT Registered, PAP was not VAT registers hivyo hakuwa na obligation yoyote ya kulipa VAT, kwa nini BOT iliipa pesa kwa PAP ambayo sio VAT registered kwa invoices za IPTL ambayo ni VAT Registered?!.

Pasco.

Hapo ndipo ufisadi ulipo.
 
Mkuu KMV jana nilipata ufafanuzi, kwenye hela za escrow kulikuwa na VAT, IPTL alikuwa ndie collecting agent wa VAT kwa TRA, invoices za Escrow zilitoka IPTL na sio PAP, IPTL wa VAT Registered, PAP was not VAT registers hivyo hakuwa na obligation yoyote ya kulipa VAT, kwa nini BOT iliipa pesa kwa PAP ambayo sio VAT registered kwa invoices za IPTL ambayo ni VAT Registered?!.
Pasco.
Kipindi kile walisema sio zetu,kwa kuwa watawala wa wakati huo walimfahamu YUSUPH. Mtawala wa sasa hamfahamu Yusuph na ukoo wake, na JINAI hata ukimzika akakaa kaburini kwa miaka dahari kuna siku atafufuka na hapo ndio mwanzo wa yeye kudai deni lake upya.
Njia salama ni kumalizana nae kwa haki kama ilivyo sasa.
 
Back
Top Bottom