Hoja ya Polepole kumtumia Rais Museveni kama mfano ni mfu

Hoja ya Polepole kumtumia Rais Museveni kama mfano ni mfu

Son Of Simon

Member
Joined
Aug 27, 2025
Posts
7
Reaction score
4
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho lake mwenyewe.

Leo hii Polepole kila alichokuwa anakiona kibaya kwake kimekuwa keki, ili mradi tu afitishe agenda yake binafsi dhidi ya mtoto wa Rais na Dkt. Samia Suluhu. Kwa mtazamo huo, anawafanya Watanzania kuonekana kama watoto wasio na akili ya kutofautisha mambo. Hata hivyo, je, Watanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa Museveni? Museveni mwenyewe aanze kwanza kwa kurekebisha kwake.

Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.

Kwa mantiki hiyo, Polepole anapaswa kutafuta watoto wenzake awaimbie hizo ngonjera zake, si kuwadanganya Watanzania wenye uelewa.
POLEPOLE.jpg
 
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho lake mwenyewe.

Leo hii Polepole kila alichokuwa anakiona kibaya kwake kimekuwa keki, ili mradi tu afitishe agenda yake binafsi dhidi ya mtoto wa Rais na Dkt. Samia Suluhu. Kwa mtazamo huo, anawafanya Watanzania kuonekana kama watoto wasio na akili ya kutofautisha mambo. Hata hivyo, je, Watanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa Museveni? Museveni mwenyewe aanze kwanza kwa kurekebisha kwake.

Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.

Kwa mantiki hiyo, Polepole anapaswa kutafuta watoto wenzake awaimbie hizo ngonjera zake, si kuwadanganya Watanzania wenye uelewa.
View attachment 3465811
Maisha bila kufanya uchawa yanawezekana!
 
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho lake mwenyewe.

Leo hii Polepole kila alichokuwa anakiona kibaya kwake kimekuwa keki, ili mradi tu afitishe agenda yake binafsi dhidi ya mtoto wa Rais na Dkt. Samia Suluhu. Kwa mtazamo huo, anawafanya Watanzania kuonekana kama watoto wasio na akili ya kutofautisha mambo. Hata hivyo, je, Watanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa Museveni? Museveni mwenyewe aanze kwanza kwa kurekebisha kwake.

Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.

Kwa mantiki hiyo, Polepole anapaswa kutafuta watoto wenzake awaimbie hizo ngonjera zake, si kuwadanganya Watanzania wenye uelewa.
View attachment 3465811
Mkuu, uelewa wako ni debatable!
 
Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.
Bila ya Pole pole kusema, baadhi yetu tulishajua Museveni alikuwa ana muumbua Samia, kwasababu hakukuwa na sababu ya kufanya vile.

Wengi walimfahamu Abdul baada ya ile tweet ya Museveni.
 
Bila ya Pole pole kusema, baadhi yetu tulishajua Museveni alikuwa ana muumbua Samia, kwasababu hakukuwa na sababu ya kufanya vile.

Wengi walimfahamu Abdul baada ya ile tweet ya Museveni.
Mzee hebu Nijuze nilipitwa na hii Museven alipost twit ipi !?
 
Nadhan hoja ilikua ni alienda kule kwa capacity ipi!?... Ni kweli General muhoozi ni in charge wa Jeshi la Uganda( very official) . Upande wa Nishati Abdul aliiwakilisha Tanganyika kwa Capacity ipi!?
 
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho lake mwenyewe.

Leo hii Polepole kila alichokuwa anakiona kibaya kwake kimekuwa keki, ili mradi tu afitishe agenda yake binafsi dhidi ya mtoto wa Rais na Dkt. Samia Suluhu. Kwa mtazamo huo, anawafanya Watanzania kuonekana kama watoto wasio na akili ya kutofautisha mambo. Hata hivyo, je, Watanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa Museveni? Museveni mwenyewe aanze kwanza kwa kurekebisha kwake.

Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.

Kwa mantiki hiyo, Polepole anapaswa kutafuta watoto wenzake awaimbie hizo ngonjera zake, si kuwadanganya Watanzania wenye uelewa.
View attachment 3465811
Polepole ni bingwa wa kuungaunga maneno na kuyapigia propaganda zake.

Kwa namna ambayo hata kama ni kweli Abdul anafanya mabaya, ile kumshambulia kwa maneno ya kuungaunga nayo inatupa maswali kuliko majibu.

Kifupi Polepole anapigania madaraka. This is a power struggle. Mambo ya kupigia kelele uongozi ni geresha tu.

Hilo halimaanishi kuwa kila anachosema hakina maana na hakiwezi kutumika na Watanzania katika kampeni zao.
 
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho lake mwenyewe.

Leo hii Polepole kila alichokuwa anakiona kibaya kwake kimekuwa keki, ili mradi tu afitishe agenda yake binafsi dhidi ya mtoto wa Rais na Dkt. Samia Suluhu. Kwa mtazamo huo, anawafanya Watanzania kuonekana kama watoto wasio na akili ya kutofautisha mambo. Hata hivyo, je, Watanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa Museveni? Museveni mwenyewe aanze kwanza kwa kurekebisha kwake.

Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.

Kwa mantiki hiyo, Polepole anapaswa kutafuta watoto wenzake awaimbie hizo ngonjera zake, si kuwadanganya Watanzania wenye uelewa.
View attachment 3465811
Huwa kunapaswa ku-scrutinize picha za kupost na zipi hazipaswi kwenda public, a picture says a lot. Acheni kuyapaka rangi mavi, it’s not gonna give you the positive image.
Kuhusu Muhoozi, bora amesoma kwenye prominent military academy lakini huyu dogo muuza matairi ghafla bin vuu na elimu yake ya chini ya muembe anakuwa na undisclosed authority through back door this is sinister and very threatening.
 
Polepole no bingwa wa kuungaunga maneno na kuyapigia propaganda zake.

Kwa namna ambayo hata kama ni kweli Abdul anafanya mabaya, ile kumshambulia kwa maneno ya kuungaunga nayo inatupa maswali kuliko majibu.

Kifupi Polepole anapigania madaraka. This is a power struggle. Mambo ya kupigia kelele uongozi ni geresha tu.

Hilo halimaanishi kuwa kila anachosema hakina maana na hakiwezi kutumika na Watanzania katika kampeni zao.
Ni kweli kabisa, na hasa naona sasa ameishiwa na issues ndiyo analazimisha kuziunga unga na kushambulia watu binafsi.

Huyo Museveni mwenyewe mke wake ni Minister, mtoto wake ni mkuu wa jeshi na yule ndugu yake ana cheo fulani hivi serikalini, halafu amseme Samia! - viongozi wa Afrika (na hata Marekani) yote iko dugu moja - family members and friends wanapewa kipaumbele.
 
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho lake mwenyewe.

Leo hii Polepole kila alichokuwa anakiona kibaya kwake kimekuwa keki, ili mradi tu afitishe agenda yake binafsi dhidi ya mtoto wa Rais na Dkt. Samia Suluhu. Kwa mtazamo huo, anawafanya Watanzania kuonekana kama watoto wasio na akili ya kutofautisha mambo. Hata hivyo, je, Watanzania wanapaswa kujifunza kutoka kwa Museveni? Museveni mwenyewe aanze kwanza kwa kurekebisha kwake.

Vilevile, hoja ya Polepole kudai kwamba kupostiwa picha Ikulu kulikuwa na lengo la “kufumbua macho ya Watanzania” ni hoja isiyo na msingi. Ni jambo la kawaida kabisa, duniani kote, kwamba tukialikwa Ikulu, Kitengo cha Mawasiliano kitapost picha za tukio husika kwenye kurasa rasmi. Hakuna ajabu yoyote hapo.

Kwa mantiki hiyo, Polepole anapaswa kutafuta watoto wenzake awaimbie hizo ngonjera zake, si kuwadanganya Watanzania wenye uelewa.
View attachment 3465811
Ni Mfu sana
 
Back
Top Bottom