Hoja ya "Muungano wa Mkataba" ni Muflisi!

wanasiasa ni watu wa ajabu sana, hao wanaoshawishi wenzao kutotaka muungano walikuwemo dodoma ccm ilipokutana, na baadhi yao ata uongozi wamegombea, hii sitaki nataka ndiyo ya ajabu, nataka muungano wa mkataba, kwanza jitoeni tujuwe, kisha muombe huo muungano wa mkataba, mtusikilize nasi kama tunautaka.

mkuu kwani hujui kuwa muungano ni kati ya ccm na bara na ccm visiwani, kuna makala moja kama sikosei ni ya jabiri idrisa wa mwanahalisi aliwahi kuelezea vizuri saana huu muungano wa ccm
 
tatizo lenu hamtaki kumfahamu mmwanakijiji. We need the muungano, lakini kuna matatizo ktk muungano huu. Solution siyo kuvunja. Waznz akili ya samaki kweli. Jipangeni mueleze, mnataka nini. Tuyafanye vipi mpaka mjihisi hamuonewi?
Hapo we unaona umenielewa kabisa na kunijibu!Kaazi kwelikweli na akina Pakacha hapa.Soma vizuri post niliyoquote na ilipoanzia utaelewa tu.
 
Last edited by a moderator:
Haya mawazo yako ya kijinga hayana mashiko yoyote kwa samaki, wewe huwezi kujua zanzibar inaisaidia vipi tanganyika ,mambo haya mtu wa kawaida kama wewe huwezi kujua ,samaki ukimuuliza atakuwambia.

Kuna mambo haya ambayo tanganyika hufaidika kwa muavuli wa muungano.

kwanza kimataifa, utambue jambo lolote ambalo la muungano au silo la muungano, akiindia rais wa united repulic of tanzania ujue linawakilishwa kimuungano, zanzibar huambulia patupu, kama kuna furushi la bilioni dola 200 zitatolewa huko UN basi munafaidika nyie zanzibar huambulia patupu.

zanzibar ikienda njee kuomba msaada wakifika tu huko, huwambiwa ah membe kafika hapa kashaondoka na furushi, kwani hamujapatiwa chenu huko zanzibar ? nyie si muna serikali ya muungano ? Ah hatujapata kitu, jibu mutajuana wenyewe.

Climate change

Imetoa furushi kwa maneo ambayo yamezungukwa na bahari kwa mfano mafia, zanzibar, comoros, na sehemu nyengine, ambazo huwathirika na tabia nchi, maji kupanda juu na mengine , mfuko huu hutolewa na jumuiya ya mataifa, tanzania hupata dongo nono sana ,bahati mbaya zanzibar huambulia patupu,tukienda kuomba msaada huo tunaambiwa tushapewa,tukiulizia huko tanganyika jamani tupeni chetu, ah hichi chetu tumepewa sie dai chenu, haya ndio matunda ya muungano ,wewe mwanakijiji unajidai hufaidikia basi muulize membe waziri wako atakuwambia.

Kuna mengi sana ambayo munafaidika na muungano,lakini hayo ni machachetu mpumavu kama wewe ambae hukusoma au sijui ukaidi tu huelewi ,hutaki ukweli, nafikiri ungelisoma masuala ya uchumi, ungelielewa zaidi na vipi munafaidika katika muungano huu. zanzibar imeanguka kiuchumi kutokana inashindwa kujiamulia mambo yake wenyewe hasa pale inapotaka kufanya ushirikiana na nchi nyengine katika nyanja za kiuchumi, haiwezi bila ya kuomba kibali kwa membe, na hilo ndio kikwazo.

zanzibar ilitaka kujiunga na OIC kwa vile zanzibar ina asilimia 99 waislamu, muungano umewazuiya hilo suala kwa nini ? Munajenga hoja za siasa chafu na kibaguzi eti waislamu sijui magaidi, sijui usultan tunataka kuleta , yaani upumbavu mtupu,,, kwa nini munatuingilia katika maamuzi yetu ?

Hatutaki tena, tunataka zanzibar yetu.

Na kumalizia jiulize kwa nini tunataka muungano wa mkataba ? wakati huo huo tunadai zanzibar huru? Suali zuri sana, na nitakujibu .

Ukweli ni kwamba sheria ambayo inatupa uhuru wa kujadili muungano, ni sheria ambayo inatupa kuuboresha tu na sio kuvunja, na hilo ndilo suala ambalo wazanzibari limetugusa katika katiba mpya, muungano tu na sio chengine katiba yetu tunayo.

kama ulitaka tutoe maoni ya kudai zanzibar huru tu, na tuukatae muungano kabisa tukutae eac basi mwambie rais wako kikwete aabadilishe kifungu chake katika hadidu rejea kuwa kila raia ana haki ya kuhoji muungno kuvunja au kubosha atamke hivyo kisheria basi sisi wazanzibari mutakuwa mushatufungulia mlango,lakini kwa sasa inabidi tuvunje ukuta ndio tupate mlango, ndio huo mkataba, na najua mkata muta ukataa wenyewe, sio ndio heri yetu, mutuachie zanzibar huru hatutaki muungano ,just ujirani mwema ka uk na marekani huko unako kusifu wewe.
Mh! unajenga hoja, lakini ungejizuia kutumia hayo maneno mekundu....!
 
Ninakubaliana na Wazanzibar kuwa inabidi kufanya afuatayo:

1. Kuivunja Zanzibar na kuwa Mkoa ndani ya Tanzania..

2. Kuvunja Muungano na Tanganyika kuwa nchi.

Wanzibar wawekewe mezani hayo maswali na watakaoshinda, IMETOKA.
 
Zanzibar pia ilijitangazia uhuru wake mnamo tarehe 10-12-1963 na kuwa mwana chama wa UN siku moja na kenya,watanganyika waliivamia z'br tarehe 12-1-1964,hadi leo wameifanya z'br kama mkoa,rejea pinda pale bungeni aliposema z'br sio nchi,unataka mfano upi tena kama c wa timor,rudi darasani.

Wazanzibari hawataki kujitenga. Wanakula bata huku bara. Muulize bilali kama anataka kujitenga wakati anakula kuku pale magogoni daily na wake zake wanne sunna
 
Ttzo hapa watanganyika mnakuwa na jazba zidi ya maamuzi ya wazanzibar,kivipi watanganyika weseme muungano huu wa nyerere ni bora bila ya kuwa na hiyo tanganyika?
 
Wazanzibari hawataki kujitenga. Wanakula bata huku bara. Muulize bilali kama anataka kujitenga wakati anakula kuku pale magogoni daily na wake zake wanne sunna

na SUK tuisambaratishe wakati Maalim yupo hapo ana enjoy ving'ora.
 
Haya mawazo yako ya kijinga hayana mashiko yoyote kwa samaki, wewe huwezi kujua zanzibar inaisaidia vipi tanganyika ,mambo haya mtu wa kawaida kama wewe huwezi kujua ,samaki ukimuuliza atakuwambia.

Kuna mambo haya ambayo tanganyika hufaidika kwa muavuli wa muungano.

kwanza kimataifa, utambue jambo lolote ambalo la muungano au silo la muungano, akiindia rais wa united repulic of tanzania ujue linawakilishwa kimuungano, zanzibar huambulia patupu, kama kuna furushi la bilioni dola 200 zitatolewa huko UN basi munafaidika nyie zanzibar huambulia patupu.

zanzibar ikienda njee kuomba msaada wakifika tu huko, huwambiwa ah membe kafika hapa kashaondoka na furushi, kwani hamujapatiwa chenu huko zanzibar ? nyie si muna serikali ya muungano ? Ah hatujapata kitu, jibu mutajuana wenyewe.

Climate change

Imetoa furushi kwa maneo ambayo yamezungukwa na bahari kwa mfano mafia, zanzibar, comoros, na sehemu nyengine, ambazo huwathirika na tabia nchi, maji kupanda juu na mengine , mfuko huu hutolewa na jumuiya ya mataifa, tanzania hupata dongo nono sana ,bahati mbaya zanzibar huambulia patupu,tukienda kuomba msaada huo tunaambiwa tushapewa,tukiulizia huko tanganyika jamani tupeni chetu, ah hichi chetu tumepewa sie dai chenu, haya ndio matunda ya muungano ,wewe mwanakijiji unajidai hufaidikia basi muulize membe waziri wako atakuwambia.

Kuna mengi sana ambayo munafaidika na muungano,lakini hayo ni machachetu mpumavu kama wewe ambae hukusoma au sijui ukaidi tu huelewi ,hutaki ukweli, nafikiri ungelisoma masuala ya uchumi, ungelielewa zaidi na vipi munafaidika katika muungano huu. zanzibar imeanguka kiuchumi kutokana inashindwa kujiamulia mambo yake wenyewe hasa pale inapotaka kufanya ushirikiana na nchi nyengine katika nyanja za kiuchumi, haiwezi bila ya kuomba kibali kwa membe, na hilo ndio kikwazo.

zanzibar ilitaka kujiunga na OIC kwa vile zanzibar ina asilimia 99 waislamu, muungano umewazuiya hilo suala kwa nini ? Munajenga hoja za siasa chafu na kibaguzi eti waislamu sijui magaidi, sijui usultan tunataka kuleta , yaani upumbavu mtupu,,, kwa nini munatuingilia katika maamuzi yetu ?

Hatutaki tena, tunataka zanzibar yetu.

Na kumalizia jiulize kwa nini tunataka muungano wa mkataba ? wakati huo huo tunadai zanzibar huru? Suali zuri sana, na nitakujibu .

Ukweli ni kwamba sheria ambayo inatupa uhuru wa kujadili muungano, ni sheria ambayo inatupa kuuboresha tu na sio kuvunja, na hilo ndilo suala ambalo wazanzibari limetugusa katika katiba mpya, muungano tu na sio chengine katiba yetu tunayo.

kama ulitaka tutoe maoni ya kudai zanzibar huru tu, na tuukatae muungano kabisa tukutae eac basi mwambie rais wako kikwete aabadilishe kifungu chake katika hadidu rejea kuwa kila raia ana haki ya kuhoji muungno kuvunja au kubosha atamke hivyo kisheria basi sisi wazanzibari mutakuwa mushatufungulia mlango,lakini kwa sasa inabidi tuvunje ukuta ndio tupate mlango, ndio huo mkataba, na najua mkata muta ukataa wenyewe, sio ndio heri yetu, mutuachie zanzibar huru hatutaki muungano ,just ujirani mwema ka uk na marekani huko unako kusifu wewe.


very stupid kumbe kelele zote za kujitoa kwenye muungano ni kwa ajili ya kwenda kuwa ombaomba.
 
Ghibuu Kama unataka Zanzibar ijitoe kwenye muungano kwa sababu ya kupata misaada au kujiunga na OIC (ili mpate misaada) basi nafikiri Mh Karume alikuwa sahihi kusema hii ni akili ya samaki!
 
[
Haya mawazo yako ya kijinga hayana mashiko yoyote kwa samaki, wewe huwezi kujua zanzibar inaisaidia vipi tanganyika ,mambo haya mtu wa kawaida kama wewe huwezi kujua ,samaki ukimuuliza atakuwambia.

Kuna mambo haya ambayo tanganyika hufaidika kwa muavuli wa muungano.

kwanza kimataifa, utambue jambo lolote ambalo la muungano au silo la muungano, akiindia rais wa united repulic of tanzania ujue linawakilishwa kimuungano, zanzibar huambulia patupu, kama kuna furushi la bilioni dola 200 zitatolewa huko UN basi munafaidika nyie zanzibar huambulia patupu.

zanzibar ikienda njee kuomba msaada wakifika tu huko, huwambiwa ah membe kafika hapa kashaondoka na furushi, kwani hamujapatiwa chenu huko zanzibar ? nyie si muna serikali ya muungano ? Ah hatujapata kitu, jibu mutajuana wenyewe.

Climate change

Imetoa furushi kwa maneo ambayo yamezungukwa na bahari kwa mfano mafia, zanzibar, comoros, na sehemu nyengine, ambazo huwathirika na tabia nchi, maji kupanda juu na mengine , mfuko huu hutolewa na jumuiya ya mataifa, tanzania hupata dongo nono sana ,bahati mbaya zanzibar huambulia patupu,tukienda kuomba msaada huo tunaambiwa tushapewa,tukiulizia huko tanganyika jamani tupeni chetu, ah hichi chetu tumepewa sie dai chenu, haya ndio matunda ya muungano ,wewe mwanakijiji unajidai hufaidikia basi muulize membe waziri wako atakuwambia.

Kuna mengi sana ambayo munafaidika na muungano,lakini hayo ni machachetu mpumavu kama wewe ambae hukusoma au sijui ukaidi tu huelewi ,hutaki ukweli, nafikiri ungelisoma masuala ya uchumi, ungelielewa zaidi na vipi munafaidika katika muungano huu. zanzibar imeanguka kiuchumi kutokana inashindwa kujiamulia mambo yake wenyewe hasa pale inapotaka kufanya ushirikiana na nchi nyengine katika nyanja za kiuchumi, haiwezi bila ya kuomba kibali kwa membe, na hilo ndio kikwazo.

zanzibar ilitaka kujiunga na OIC kwa vile zanzibar ina asilimia 99 waislamu, muungano umewazuiya hilo suala kwa nini ? Munajenga hoja za siasa chafu na kibaguzi eti waislamu sijui magaidi, sijui usultan tunataka kuleta , yaani upumbavu mtupu,,, kwa nini munatuingilia katika maamuzi yetu ?

Hatutaki tena, tunataka zanzibar yetu.

Na kumalizia jiulize kwa nini tunataka muungano wa mkataba ? wakati huo huo tunadai zanzibar huru? Suali zuri sana, na nitakujibu .

Ukweli ni kwamba sheria ambayo inatupa uhuru wa kujadili muungano, ni sheria ambayo inatupa kuuboresha tu na sio kuvunja, na hilo ndilo suala ambalo wazanzibari limetugusa katika katiba mpya, muungano tu na sio chengine katiba yetu tunayo.

kama ulitaka tutoe maoni ya kudai zanzibar huru tu, na tuukatae muungano kabisa tukutae eac basi mwambie rais wako kikwete aabadilishe kifungu chake katika hadidu rejea kuwa kila raia ana haki ya kuhoji muungno kuvunja au kubosha atamke hivyo kisheria basi sisi wazanzibari mutakuwa mushatufungulia mlango,lakini kwa sasa inabidi tuvunje ukuta ndio tupate mlango, ndio huo mkataba, na najua mkata muta ukataa wenyewe, sio ndio heri yetu, mutuachie zanzibar huru hatutaki muungano ,just ujirani mwema ka uk na marekani huko unako kusifu wewe.

Kama majibu yenyewe ndo haya, na yakabeba wanzabari asilimia 90 ya wazanzibari wote basi tutegemee kupotea kabisaaa kwa zanzibar baada ya kujing'atua kutoka bara. Mwanakijiji kama umemwelewa anajaribu kutoa directives namna zanzibar inavyoweza kujitoa. Tena hayo ambayo bara inafaidi ndiyo mtakayofaidi baada ya kujitoa na hapo ndipo mtakapoamua ninyi wenyewe kuwa na mkataba fulani bara au kukata kabisa hata ule undugu, kwani hata hivyo si lazima tuendelee kuweka mikataba na zanzibar endapo zanzibar yenyewe haitaki.

Kwahiyo somalia inauchumi mzuri kwa sababu ni mwanachama wa oic?pumbafu
 
Maalim Seif anawatega Wazanzibari nawo wanategeka... Kudadeki long live the Maalim Seif... u have to give it to the man, he knows how to control small minds.....[h=5][/h][h=5][/h]
 
ndugu zangu naona maandiko mengine yako kwenye hasira hebu tupowe .masuala yangu ni haya aliionyakua uhuru wa zanzibar nani mwaka 1963 ,ni wapinduzi wa afro shirazi sawa .pili tukiwa tunasemaserikali inayotambuliwa ni ipi ya 63 au ya mapinduzi halali ya afro shirazi .tatu wengi tushachoshwa na picha za wakubwa fulani wako UN na juzi nimeona mapicha ya Jemshid aliekuwa mfalme akakimbia mapinduzi na mengi kwenye u tube kuusifia utawala wa 1963 ambao wengi wa wananchi hatuujui lakini hayo yalijulikana wakati wa mapinduzi na pia wakati wa kuungana .kwa undani utaona suala la mkataba limefichwa kwenye kichaka cha wakubwa wanaotaka zanzibar iwe nchi huru .kwa hivyo kiongozi wa SMZ amesema atabakia na mfumo uliopo na marekebisho yafanywe kuuboresha sasa kwa upande wa wanauamsho nao wabaki na upande wao ili ikibidi kupiga kura kila upande utasimamia upande unaouamini .ila kuna faulu zinazofanywa ikiwemo kufanya vurugu kwenye sehemu za vikao vya kamati ya katiba hili ni baya sana na sio demokrasia huru .Kwako Mwanakijiji umeeleza vizuri tu na mie nimevutiwa ila pia punguza maneno makali kwa kipindi tunachopita inabidi wenye nia njema upande wa bara waendelee kuwaelimisha wenzao wa zanzibar ili wasije kuuziwa paka kwenye gunia wakifikiria mbuzi .Maoni yangu wale wote wasiotaka muungano kule zanzibar hebu wajitoe hadharani tuwajue na sababu zao ili wengine waelewe labda kuwaunga mkono isije ikawa kama inavyo tokea Quebec na Canada mchezo kama huo wa kila siku.Muungano wa mkataba ni kweli muflisi na sio kwenda mbele bali ni kurudi nyuma tanzania daima
 
Wazanzibari hawataki kujitenga. Wanakula bata huku bara. Muulize bilali kama anataka kujitenga wakati anakula kuku pale magogoni daily na wake zake wanne sunna

sheikh nakuambia nenda pale tandika uone wanavyootesha maduka.jamaa wanaipenda bongo sana.halafu hivi pale mji mkongwe kuna kiwanda chochote cha kutengeneza maji ya UHAI?Kama hamna tumkumbushe mzee asipasahau palimtoa na urojo pale!
 
ndugu zangu naona maandiko mengine yako kwenye hasira hebu tupowe .masuala yangu ni haya aliionyakua uhuru wa zanzibar nani mwaka 1963 ,ni wapinduzi wa afro shirazi sawa .pili tukiwa tunasemaserikali inayotambuliwa ni ipi ya 63 au ya mapinduzi halali ya afro shirazi .tatu wengi tushachoshwa na picha za wakubwa fulani wako UN na juzi nimeona mapicha ya Jemshid aliekuwa mfalme akakimbia mapinduzi na mengi kwenye u tube kuusifia utawala wa 1963 ambao wengi wa wananchi hatuujui lakini hayo yalijulikana wakati wa mapinduzi na pia wakati wa kuungana .kwa undani utaona suala la mkataba limefichwa kwenye kichaka cha wakubwa wanaotaka zanzibar iwe nchi huru .kwa hivyo kiongozi wa SMZ amesema atabakia na mfumo uliopo na marekebisho yafanywe kuuboresha sasa kwa upande wa wanauamsho nao wabaki na upande wao ili ikibidi kupiga kura kila upande utasimamia upande unaouamini .ila kuna faulu zinazofanywa ikiwemo kufanya vurugu kwenye sehemu za vikao vya kamati ya katiba hili ni baya sana na sio demokrasia huru .Kwako Mwanakijiji umeeleza vizuri tu na mie nimevutiwa ila pia punguza maneno makali kwa kipindi tunachopita inabidi wenye nia njema upande wa bara waendelee kuwaelimisha wenzao wa zanzibar ili wasije kuuziwa paka kwenye gunia wakifikiria mbuzi .Maoni yangu wale wote wasiotaka muungano kule zanzibar hebu wajitoe hadharani tuwajue na sababu zao ili wengine waelewe labda kuwaunga mkono isije ikawa kama inavyo tokea Quebec na Canada mchezo kama huo wa kila siku.Muungano wa mkataba ni kweli muflisi na sio kwenda mbele bali ni kurudi nyuma tanzania daima

libarikiwe tumbo lilokuzaa,na wazenj wote wangekuwa kama weye mbona saa hizi ugomvi wa muungano ushaisha zamani,basi mie natulia kwa kuwa kuna mzenji mmoja humu ameituliza roho yangu kwatuu!krismas njema saliha wangu.
 
Wanajamvi, Kabla sijachangia hoja mwanana na maridhawa ya mwanakijiji, napenda nionyeshe alichokisema Nyerere na kama alivyorudia Mwanakijiji kwa ushahidi ''live''

Nyerere alisema nje ya muungano Zanzibar si salama. Ukisoma hiyo quote ya Ghibuu ambaye hoja zake zinatawaliwa na matusi kuliko mantiki unaweza kupata jambo moja muhimu sana.

Ghibuu anasema Nyerere alimwita Okello afanye mauaji ya Wazanzibar 1964.
Naomba tukubaliane naye kinadharia na katika kiwango chake cha uelewa.

Anachokisema Ghibuu ambacho Wazanzibar wengine pia wanaamini ni kuwa Mapinduzi ya mwaka 1964 hayatokani na Wazanzibar na hivyo si halali.

Hiyo ni tofauti na hoja ya Wazanzibar wengine wanaosema Mapinduzi daima. Hii maana yake ni kuwa wapo wanaosema Mapinduzi daima na wapo wanaosema huo ni uhaini. Hadi hapo ZNZ ina tatizo kama alivyoonyesha Ghibuu na kufuatana na hoja za Mwalimu. Tuachane na Ghibuu kwasababu ni sehemu ya waimba kwaya wasiojua maana ya tungo

Mwanakijiji ameandika kuwa kwa vile GNU ilipatikana kwa ridhaa ya Wazanzibar na kutumia vyombo vyao, hakuna tatizo wao kutoshiriki tume ya Warioba na badala yake waanze mchakato kama ule wa GNU ili kupata Zanzibar huru.

Mwanakijiji, naomba niende mbali zaidi katika hoja zako. Tunapoambiwa muungano wa mkataba kwanza tunatakiwa tuvunje uliopo halafu tufikirie kama kuna muungano wa aina yoyote.
Nasema tufikirie kwasababu Tanganyika haitakuwa tayari kuungana na ZNZ kwa kigezo kimoja tu, ili ipate faida gani.

Lakini pia tukumbuke kuwa katika mchakato wowote au proposal ya jambo ni lazima anayehusika aweke wazi mada yake ili ieleweke. Hao wanaodai muungano wa mkataba kwanza watuambie ni kitu gani, pili nini faida zake na tatu unatekelezwaje na kwa mambo gani.

Haiwezekani tuambiwe muungano wa mkataba bila kujua ukoje, kwanini na kwa jambo gani.
Hao wanaodai muungano wa mkataba sijawahi kuwasikia hata siku moja wakieleza jambo moja tu ambalo wanadhani liwe la mkataba. Kwa maneno ya mitaani yaani wanatuambie twendeni bila kujua wapi kufanya nini,kwa utaratibu gani ili tupate nini. Wanasisitiza twendeni tena kwa hasira wakiamini tutaamka na kukunja viti tuwafuate tu

Kitu kimoja kinachoshangaza katika majadiliano haya ni kuwa Wazanzibar wamejipa haki ya kuamua aina ya mkataba.
Katika kongamano la Oktoba 6 pale Bwawani, Jusa alisema kuwa wao tayari wana muungano wa mkataba ambao wamemkabidhi Seif na katibu wa baraza la Mapinduzi na nje ya hapo hawakubali lolote.

Mansour Himid akasema, endapo muungano wa mkataba hautakubaliwa basi wajumbe wa BLW itabidi wafanye maamuzi magumu sana. Alimaanisha wavunje muungano.

Ni nani amewapa hawa wazanzibar wachache ridhaa ya kuamua mkataba na kwanini Wazanzibar hawajui mkataba unasemaje, yet kundi hilo linashinikiza matakwa yao yakubaliwe?

Je kulikuwa na mchakato wa kuchukua maoni ya Wazanzibar na kuyaweka katika huo mkataba ambao ni siri na unashinikizwa ukubaliwe?

Na je Tanganyika ikikataa mkataba ZNZ itachukua hatua gani na kwanini wasichukue hatua hizo sasa hivi ili kuondoa kadhia hii mapema kwa kujua kuwa muungano wa mkataba unalazimu kwanza uvunjwe uliopo.

Lakini muhimu zaidi ni Wazanzibar kuelewa kuwa Tanzania ikiamua kujitoa EAC ambao ni makubaliano tu, nchi zingine hazitaulizwa kuwa zinakubali au la.

Na kwanini Zanzibar idhani kuwa Tanganyika inapaswa kujadili hili suala la ZNZ kujitoa au la.
Hata kama Tanganyika itashiriki bado jukumu la kujitoa ni la Wazanzibar na hivyo kuokoa muda na gharama ni vema ZNZ yenye eneo dogo na watu wachache sana wafanye maamuzi yao haraka ili tujue wapi tunaelekea.

Kitu kimoja ambacho ni dhahiri ni kuwa matokeo yoyote yale ya mchakato, mahusiano kati ya Tanganyika na Zanzibar yatakuwa na matatizo. Leo hii Watanganyika wanaelewa kuwa kumbe wao ndio ndio wamebeba muungano.
Hakuna jambo litakaloafikiwa bila Tanganyika kuangalia masilahi yake kwanza siku za mbeleni.

Kwa mantiki hiyo hamkani si shwari na tuwaombe Wazanzibar wafanye maamuzi ya kukamilisha taratibu ili tuvunje dau na tugawane mbao kama zipo za kugawana.

Ungetaka mjadili Nyerere basi jiulize kwanini alitumia nguvu zake zooote pamoja na weledi wake wooote KUPINGA KUANZISHWA kwa Serikali ya Tanganyika. kwa mifano dhahir kabisa kwanza Aliyekuwa rais wa Znz Aboud Jumbe alipoleta hoja za muungano na kupendekeza Kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika, Pili wabunge 57 maarufu ka G57 walipodai Bungeni kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika. Nyerere alitumia nguvu zake zote na uwezo wake kupingana na hoja hizo.

je jiulize alikhofu nini katika kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika?
 
sheikh nakuambia nenda pale tandika uone wanavyootesha maduka.jamaa wanaipenda bongo sana.halafu hivi pale mji mkongwe kuna kiwanda chochote cha kutengeneza maji ya UHAI?Kama hamna tumkumbushe mzee asipasahau palimtoa na urojo pale!


Ulitakiwa tu ujue kuwa yupo pale kuwaonyesha kuwa Mnaweza kuanzisha biashara za kawaida tu na mkaweza kuendelea bila kutegemea ukabaji na ujambazi.

Hilo ni somo tosha kwenu kwa mwenye kufikiri.
 
weweweee!!!! maneno mengii.... huna point, acha jaziba jibu hoja? kwani CUF wakichukua znz si wataunda serikali tatu? na hapo si ndo muungano utakufa? kwa nini msitumie njia hiyo kama hamwezi kupeleka mswaada kwnye bunge lenu?. JK hawezi badili kipengele chochote sababu yeye siye anayetaka znz huru ni nyinyi ndo mnataka. Makamu wa raisi Maalimu Seifu si ni sehemu ya serikali, na baadhi ya mawaziri toka CUF, kwanini hawezi kupeleka hili kwenye baraza la mawaziri na kulipeka hoja bungeni kama mswada?
mmm anasema kwnini tanzani bara isaidie znz kupumua?
We unafikiri kuendeshwa na king'ora ni mchezo. King'ora kikiisha utaona makelele yataanza.
 
Ungetaka mjadili Nyerere basi jiulize kwanini alitumia nguvu zake zooote pamoja na weledi wake wooote KUPINGA KUANZISHWA kwa Serikali ya Tanganyika. kwa mifano dhahir kabisa kwanza Aliyekuwa rais wa Znz Aboud Jumbe alipoleta hoja za muungano na kupendekeza Kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika, Pili wabunge 57 maarufu ka G57 walipodai Bungeni kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika. Nyerere alitumia nguvu zake zote na uwezo wake kupingana na hoja hizo.

je jiulize alikhofu nini katika kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika?

akuhofu chochote.

Nyerere alikuwa muumini wa Africa moja kama inchi, kwasababu ukifuatilia historia Africa ni berlin conference ndo iliweka mipaka na kutuanzishia inchi hizi. Ndo mana makabila ya watu wanao tuzunguka Tanzania yanashabiana katika mengi.
Nyerere aliona umuhimu wa kuwa na Inchi moja kati ya ZnZ na Tanganyika ndio mana alikazania sana muungano. Alitaka wanachi wake tukienda sehemu tujitambulishe kama Watanzania sio Mtanzania lakini upande wa Bara au Mtanzania lakini mzanzibari.

Muungano wowote siku zote ni positive na una positive result katika walicho unganikia. Wazee wetu waliliona hilo tangu zamani wakatutengenezea Muungano ni sisi ilitakiwa tuje tuuimarishe na kuuboresha. ila wakatokea watu fulani wakiwaaminisha wenzao kwamba wananyonywa,wananyimwa uhuru, tuwe wenyewe, tujitenge.
 
Back
Top Bottom