Nurdin moh'd
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 367
- 70
Tunataka serikali 1.
Ya tanganyika?
Tunataka serikali 1.
I'm so sick of this muungano bs.
Unaishi sayari ipi ndugu yangu?mkataba ni maoni ya waz'br kwenye ile tume,na nyie pelekeni yenu kwenye ile tume tupate kuwaelewa mkitakacho.
Ndio maana samaki hana ujanja...si tu anavuliwa, anageuzwa kitoweo! Zanzibar kuisaidia Tanganyika? Tanganyika ipi? Ama hizo ndio akili za samaki! GHIBUU, JF inakuzidi uwezo...please go back where you came from! Naona idadi ya watu mliozoea mijadala miepesi kwenye kumbi zisizo makini mnazidi kuongezeka siku hadi siku, silaha pekee mliyo nayo ikiwa ni gunia la matusi mnapokosa hoja.Haya mawazo yako ya kijinga hayana mashiko yoyote kwa samaki, wewe huwezi kujua zanzibar inaisaidia vipi tanganyika,
Bahati mbaya ndani ya JF tunajadiliana tu na watu wa kawaida, si samaki! Kwa ufahamisho tu ni kwamba samaki kuambiwa hawezi kukwea mti hatukanwi, ndio maumbile yake!mambo haya mtu wa kawaida kama wewe huwezi kujua, samaki ukimuuliza atakuwambia.
Ehee, endelea @NGIBUU...Kuna mambo haya ambayo tanganyika hufaidika kwa muavuli wa muungano. kwanza kimataifa, utambue jambo lolote ambalo la muungano au silo la muungano, akiindia rais wa united repulic of tanzania ujue linawakilishwa kimuungano, zanzibar huambulia patupu, kama kuna furushi la bilioni dola 200 zitatolewa huko UN basi munafaidika nyie zanzibar huambulia patupu.
Hii sidhani kama ni kweli hata kidogo...yaani Zanzibar iombe msaada kama Zanzibar, furushi apewe Membe? Kama hata Mag3 anaweza kuomba msaada akapewa, huyo mtu mwingine wa kupewa furushi anaingiaje hapo? Au unaongelea msaada unaotolewa kwa nchi? Kumbuka huko nje tunayo nchi moja tu, Jamhuri ya Tanzania, period.zanzibar ikienda njee kuomba msaada wakifika tu huko, huwambiwa ah membe kafika hapa kashaondoka na furushi, kwani hamujapatiwa chenu huko zanzibar ? nyie si muna serikali ya muungano ? Ah hatujapata kitu, jibu mutajuana wenyewe.
Mbona unajichanganya? Hili dai lako ni uwongo uliopitiliza. Mara unadai Tanzania kupewa donge nono, hapo hapo unalalamika Zanzibar kuambulia patupu! Nilidhani Zanzibar ni sehemu ya Tanzania na hiyo Tanganyika unayoionglea unaijua wewe tu, huko nje hawaijui.Climate change Imetoa furushi kwa maneo ambayo yamezungukwa na bahari kwa mfano mafia, zanzibar, comoros, na sehemu nyengine, ambazo huwathirika na tabia nchi, maji kupanda juu na mengine , mfuko huu hutolewa na jumuiya ya mataifa, tanzania hupata dongo nono sana ,bahati mbaya zanzibar huambulia patupu,tukienda kuomba msaada huo tunaambiwa tushapewa,tukiulizia huko tanganyika jamani tupeni chetu, ah hichi chetu tumepewa sie dai chenu, haya ndio matunda ya muungano ,wewe mwanakijiji unajidai hufaidikia basi muulize membe waziri wako atakuwambia.
Kama wewe ni mfano wa mtu aliyesoma basi kazi ipo. Hata hivyo, mbona Mwanakijiji kawasaidia kwa kuwaonesha njia bora iwapo Zanzibar inaona inaonewa, nayo ni kujitoa na kuwa nchi huru. Katoa mifano ya nchi kadhaa ambako kura za maoni zimepigwa na wananchi wakaamua kujitoa ama kutojitoa kwenye muungano. Kipi kinakushindeni kuelewa hapo? Ama kama samaki na wewe unasononeka kwamba kushindwa kwako kukwea mti ni dalili ya kukosa akili! Hapana, ni maumbile tu!Kuna mengi sana ambayo munafaidika na muungano,lakini hayo ni machachetu mpumavu kama wewe ambae hukusoma au sijui ukaidi tu huelewi ,hutaki ukweli, nafikiri ungelisoma masuala ya uchumi, ungelielewa zaidi na vipi munafaidika katika muungano huu. zanzibar imeanguka kiuchumi kutokana inashindwa kujiamulia mambo yake wenyewe hasa pale inapotaka kufanya ushirikiana na nchi nyengine katika nyanja za kiuchumi, haiwezi bila ya kuomba kibali kwa membe, na hilo ndio kikwazo.
Sheria za OIC ndizo zilizowazuia kujiunga kwa sababu Zanzibar haitambuliki kimataifa kama nchi kipengele ambacho kwa akili za samaki, mlishindwa kukizingatia. Mlitaka kuingia kama vile mnaingia msalani...mswahili bwana! Mlidanganya na uwongo ulipogundulika kuwa Zanzibar haina sifa mliambiwa sheria hairuhusu na kwamba ni nchi Tanzania tu ingeweza kujiunga na si vinginevyo.zanzibar ilitaka kujiunga na OIC kwa vile zanzibar ina asilimia 99 waislamu, muungano umewazuiya hilo suala kwa nini ? Munajenga hoja za siasa chafu na kibaguzi eti waislamu sijui magaidi, sijui usultan tunataka kuleta , yaani upumbavu mtupu,,, kwa nini munatuingilia katika maamuzi yetu ?
Hapa sasa unaongea, tupo ukurasa moja na sisi tunawatakia kila la heri ila isije ikawa huku wataka na kule watakaHatutaki tena, tunataka zanzibar yetu.
Huu ni uwongo, uwongo, uwongo...ni kutafuta tu visababu vya kung'ang'ania kubaki ndani ya Muungano mnaodai hamuutaki kumbe kuna lililojificha, mnaiogopa Zanzibar nje ya Muungano! Hiyo sababu haikuizuia Sudani Kusini isianze mchakato wa kujitenga...kwa kweli wengine wenu ni wanafiki wakubwa. Mnataka mpikiwe, muwekewe mezani, mlishwe na na ikiwezekana mtafuniwe! Hapana, acheni uvivu na woga, mtaka cha uvunguni sharti ainame!Na kumalizia jiulize kwa nini tunataka muungano wa mkataba ? wakati huo huo tunadai zanzibar huru? Suali zuri sana, na nitakujibu. Ukweli ni kwamba sheria ambayo inatupa uhuru wa kujadili muungano, ni sheria ambayo inatupa kuuboresha tu na sio kuvunja, na hilo ndilo suala ambalo wazanzibari limetugusa katika katiba mpya, muungano tu na sio chengine katiba yetu tunayo.
Na hapa ndipo nashindwa kuwaelewa...nadhani mnafaidika na Muungano na hizi kelele zenu, kama alivyosema Baba wa Taifa, ni kama za mtoto mdogo...ukimpakata anakunyea, ukimwacha analia. Zanzibar kama ilivyo inao uwezo wa kuamua kutoka ama kubaki kwenye Muungano...mna katiba, mna serikali, mna baraza la Wawakilishi, vyombo ambavyo Sudani Kusini hawakuwa navyo! Wao walitambua kuwa kukaa tu wakilialia hakutawapa uhuru walioutaka, walichukua hatua, je na ninyi?kama ulitaka tutoe maoni ya kudai zanzibar huru tu, na tuukatae muungano kabisa tukutae eac basi mwambie rais wako kikwete aabadilishe kifungu chake katika hadidu rejea kuwa kila raia ana haki ya kuhoji muungno kuvunja au kubosha atamke hivyo kisheria basi sisi wazanzibari mutakuwa mushatufungulia mlango,lakini kwa sasa inabidi tuvunje ukuta ndio tupate mlango, ndio huo mkataba, na najua mkata muta ukataa wenyewe, sio ndio heri yetu, mutuachie zanzibar huru hatutaki muungano ,just ujirani mwema ka uk na marekani huko unako kusifu wewe.
Zanzibar pia ilijitangazia uhuru wake mnamo tarehe 10-12-1963 na kuwa mwana chama wa UN siku moja na kenya,watanganyika waliivamia z'br tarehe 12-1-1964,hadi leo wameifanya z'br kama mkoa,rejea pinda pale bungeni aliposema z'br sio nchi,unataka mfano upi tena kama c wa timor,rudi darasani.
Umesahau samuel sitta alipoongea bungeni kuwa zanzibar ni mzigo, wakati wabunge wa zanzibar walipokuja juu suala la muungano, samuel sitta akaja juu na hoja ya kuwa wanaidai zanzibar bilioni 50 za umeme,walipwe ndio muungano ujadiliwe, lakini walisahau kuwa katika bank kuu zanzibar kuna asilimia 11,wanaipa asilimia 4.5 mbona husemi ? kama mzigo kwenu munatusaidia vya kutosha na munaona hatuna shukurani mbona mzigo hamutaki kuutua ? mara ngapi wabunge wa zanzibar wanaleta hoja suala la muuungano ? munakuwa wakali sana mukitajiwa uhuru wa zanzibar.Yeah, lakini serikali ya Muungano haijawahi kulalamika kuwa kuibeba Zanzibar ni mzigo. Lakini vile vile akianzisha Rais wa Muungano mchakato Wazanzibari hawa hawa wataanza "unaona hawatutaki kwenye Muungano". Hili linatakiwa kuwa ni suala la Wazanzibari wenyewe. Lakini mfano wa East Timor unaweza usiwe mzuri kwa sababu East Timor haikuwa na serikali yake na vyombo vyake isipokuwa vile vya Umoja wa Mataifa.
Na pia historia ya East Timor siyo sawa na Zanzibar; East Timor ilijitangaza huru lakini ikavamiwa na Indonesia na kufanywa Jimbo la 27 la Indonesia. Serikali ya Muungano wa Tanganyika haikuvamia Zanzibar wala kuigeuza Zanzibar mojawapo ya mikoa yetu. Mfano wako wa East Timor hapa haufai.
Hivi nyie watanganyika kwa nini hamutaki kusoma, yaani hamuwezi kutoa hoja lazima mumtaje nyerere ? Kwani nyerere mtume au mungu ambaye kwamba akisema jambo lina ukweli ? Nyerere ameleeni vibaya sana badala ya kukupeni elimu anakupeni upumbavu na ulimbukeni.Na hapa ndipo nashindwa kuwaelewa...nadhani mnafaidika na Muungano na hizi kelele zenu, kama alivyosema Baba wa Taifa, ni kama za mtoto mdogo...ukimpakata anakunyea, ukimwacha analia. Zanzibar kama ilivyo inao uwezo wa kuamua kutoka ama kubaki kwenye Muungano...mna katiba, mna serikali, mna baraza la Wawakilishi, vyombo ambavyo Sudani Kusini hawakuwa navyo! Wao walitambua kuwa kukaa tu wakilialia hakutawapa uhuru walioutaka, walichukua hatua, je na ninyi?
Kama watanganyika humjawahi kuona muungano wa mkataba ukoje basi na huu wa nyerere haukuwahi kuwepo duniani.
sasa hapa ndio ipo sababu kubwa zaidi ya nyinyi kujitangaza uhuru kwa vile mlivamiwa! PLEASE DO THE NEEDFUL.
Umesahau samuel sitta alipoongea bungeni kuwa zanzibar ni mzigo, wakati wabunge wa zanzibar walipokuja juu suala la muungano, samuel sitta akaja juu na hoja ya kuwa wanaidai zanzibar bilioni 50 za umeme,walipwe ndio muungano ujadiliwe, lakini walisahau kuwa katika bank kuu zanzibar kuna asilimia 11,wanaipa asilimia 4.5 mbona husemi ?
Zanzibar mumeikalia kijeshi, rais wa zanzibar ni kibaraka wenu, ametoka ndani ya dodoma, hivi kwa akili yako anaweza kuuvunja muungano ? Unajua kuwa urais wa zanzibar shein kaupata kwa njia gani ?
Naona watanganyika vipovu vya mdomo vinawatokeni midomoni kisa waz'br kutaka muungano wa mkataba,jamani c kila mtu ana mawazo yake acheni kuwa na akili za samaki,kabla hamjakosoa mawazo ya wenzenu wekeni na nyie mawazo yenu ili yajulikane,kama mnaona bora uwe hivihivi muungano huu sasa kuna haja gani ya tume ya warioba kuharibu pesa za walala hoi kuchukua maoni?hivi hadi leo bado watanganyika mnaogopa kivuli cha nyerere?
Wanajamvi, Kabla sijachangia hoja mwanana na maridhawa ya mwanakijiji, napenda nionyeshe alichokisema Nyerere na kama alivyorudia Mwanakijiji kwa ushahidi ''live''Hivi nyie watanganyika kwa nini hamutaki kusoma, yaani hamuwezi kutoa hoja lazima mumtaje nyerere ? Kwani nyerere mtume au mungu ambaye kwamba akisema jambo lina ukweli ? Nyerere ameleeni vibaya sana badala ya kukupeni elimu anakupeni upumbavu na ulimbukeni.
Nyerere alitamka zahiri kwa mdomo wake kuwa zanzibar inamuumiza kichwa ,na ndio aliamua kufanya mapinduzi na kumchukua okelo kutoka uganda kuja kufanya uhaini zanzibar na kuwaiwa wazanzibari. lete hoja wewe usimsujudie nyerere hapa kashakufa huyo ..
Na kwanini Zanzibar idhani kuwa Tanganyika inapaswa kujadili hili suala la ZNZ kujitoa au la.
Hata kama Tanganyika itashiriki bado jukumu la kujitoa ni la Wazanzibar na hivyo kuokoa muda na gharama ni vema ZNZ yenye eneo dogo na watu wachache sana wafanye maamuzi yao haraka ili tujue wapi tunaelekea. .