kwa sisi watu wa intelejensia tunafahamu fika kuwa wewe mwana kijiji ni mpambe wa karibu wa membe, hapa jukwaani umekuja kupima upepo wa huyo rafiki kipenzi chako, kwa taarifa yako ni heri mara mia ya lowasa kuwa rais kuliko an hypocrite in born character benny membe. Naomba umwambie rafiki yako pengine mtaonana US leo au kesho kuwa mmekwama na mipango yenu tunaifahamu tunasubiri muda tu tuwalipue.
Basi japo nipe kikao kilichompitisha.DO you think Ni lazima nijue idadi ya kura ili kuthibitisha support yangu?Mbona sikumbuki hata za kikwete ingawa aniliskiliza kwa makini sana alipowashinda mwandosya na salim pale dodoma huku nikijilaumu sana kwa sifa laizochaguliwa nazo.
Basi japo nipe kikao kilichompitisha.
Kwa mfano?
Dah! mkuu samahasni kama nakukwaza, watu wote kina nani?Ingawa juu kabisa niliweka maneno "kama.....kihalali...." ila ngoja nikujibu Sasa kama hakuna kikao kilichompitisha ni vipi watu wote kwa pamoja wakakubaliana naye kuwa mgombea?
Kwanini huku protest?....hivi dr slaa alijtangaza mwenyewe au alitangazwa na msemaji wa chama?Ni wewe menyewe hukumpitisha au na akina mbowe na wengine?Utatuthibitishiaje kuwa hukuwepo ktk kikao?Na ulikuwa wapi kam wenzako wanafanya kikao wewe kam mjumbe haukuwepo?Dah! mkuu samahasni kama nakukwaza, watu wote kina nani?
Najua mimi sikumpitisha.
Mimi si mjumbe wa CDM na kamwe sitakuwa mjumbe wa CDM na kamwe sitakuwa mwanachama wa CDM wala mshabiki.Kwanini huku protest?....hivi dr slaa alijtangaza mwenyewe au alitangazwa na msemaji wa chama?Ni wewe menyewe hukumpitisha au na akina mbowe na wengine?Utatuthibitishiaje kuwa hukuwepo ktk kikao?Na ulikuwa wapi kam wenzako wanafanya kikao wewe kam mjumbe haukuwepo?
Mimi si mjumbe wa CDM na kamwe sitakuwa mjumbe wa CDM na kamwe sitakuwa mwanachama wa CDM wala mshabiki.
Hata kama wanachama wote wa CCM wataingia CDM na wale wa CDM wataingia CCM, bado watanikuta nimebana kona tawi la CCM nauza mafuta ya dili.
Narudia swali mkuu, naona labda hujanielewa. Kikao gani kilimpitisha Dr Slaa kuwa mgombea? Na alipata kura ngapi? dhidi ya nani? Na fomu zilitangazwa kuchukuliwa lini?
Nia yangu nataka nijue kama wanahubiri demokrasia au wanaitekeleza demokrasia?
Ukiangalia sana kati ya viongozi wengi wa CCM na walioko serrikalini Membe ndiye anayeonekana kuja kuweza kumudu kuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama hicho. Ukimlinganisha na wagombea wengine (hasa Lowassa aliyejiuzulu kwa kashfa) ni Membe tu ambaye anaonekana kulindwa na mlolongo mkubwa wa kashfa mbalimbali na japo - kama nilivyosema wiki kadhaa nyuma - hajajiandaa kuwa Rais ni wazi miaka hii miwili iliyobakia inaweza kumsaidia kujitengenezea na kuwa a true "presidential candidate"
CCM ikimsimamisha Membe kama mgombea wake inaweza kuwa na nafasi ya kushinda tena kiti cha Urais; wakimsimamisha mtu mwingine yeyote itakuwa ni mwisho wa utawala wa CCM.
Ni kweli?
Only loosers or greed would think this way.Mtu mchoyo/mlafi/aliyeshindwa/mwenye wivu ndiye akiona kwake hakuna kitu atavutika kusema na mambi nyingine hazina kitu.
CDM haipo kundi la hivyo vyama vilivyo ktk ndoa z amitaala na ccm.
By the way nchi haiwezi kwenda bila kiongozi kama katiba isemavyo.Kwa hiyo bora tukose owte haina nafasi hapa.
kwa jins mambo yanavyoenda HOBELAHOBELA unadhan kuna haja ya kuwa na rais????wewe unaona nafas ya hii taasisi hapa nchini kwa sasa ina umuhim gani????nakubal katiba inatamka tuwe na rais je rais aliyeko madarakana na yanayoendelea tanzania,kuna sababu ya kujivunia kuwa tuna rais???
Katiba inasema hivyo n kivitendo nchi haiwezi end bila mkuu mmoja nayetoa na kupitisha amri.Nafasi ya mtendaji mkuu wa nchi kama si mkuu wa nchi ni lazima .Rais/Mkuu wa nchi si kwa ajili ya kujivunia bali wa kuongoza nchi.
Nionavyo mimi,swali hili la mwanakijij limewaingiza wengi KINGI,maana wadau wengi wanaanza kuropoka sasa,'HERI LOWASSA'
kuna heri gani????tunapoukataa wizi tuukatae jumla,,,,,,,unaskia fahari kuwa na BABA KIBAKA????HOW COME?
LOWASSA.MEMBE WOTE HWAFAI,NA HAKUNA ANAYEFAA PALE CCM,MAANA HATA KIKWETE ALIPOINGIA WATU WALIDHAN ANAFAA,,,,,,,
exactly bt kwa sasa sidhan kama inatumika kuongoza nchi,na hapa ndipo napoona hakna haja
tafuta wanamagamba wenzio uwaeleze huo ***** wako.sie tunataka mageuzi ya kweli.heri lowasa kuliko muuza sura namba 2 baada ya jk.
membe ni kama nyumbu anaweza kimbia hatari halafu akarudi tena kwa mwembwe kama vile hatari imekwisha.Na kaenda hadi kumnusa pua simba aliyeshiba baa ya kumla nyumbu mwenize muda mfupi.Membe hata diplomacy yake haina msaada wowote katk ku negoatite deal.Ndio maana EL kaweza mpiga bao sana katk kujenga mitandao na si mtandao.Hata kuhusu hela Membe bado hela haijamzoea,pamoja na kwamba kafanya ukuwadi kwa ghaddafi miaka yote na kupokea hela nyingi bado hajaweza zitumia vyema sana. na bado hawajeweza jifunza vizuri hatari ya wenzie kwake kisiasa km walivyo nyumbu.Pale arumeru hakuweza kumondoa chaguo la EL hata pale alipotumia wizara yake kumweka boss wa AICC,hata walipokamata watuwa EL bado mtu wa EL alipita CDM ndio walikwena smash kila kitu.
Kuanzia siasa za kimataifa hajaweza ona mahusiano ya kidini , na yakijamaa yaliyokuwa yakitutoa toka nchi zisizofunagman ana upande wowote hadi hadi nchi inayoburuzwa na nchi zozote zinzopinga magharibi.Kw aujumla alikuwa na narrow undestanding ya kutofungamana upande wowote.Hana tofauti na black anayelia kubaguliwa kwa kaisi cha yeye kuwa mbaguzi kuliko anavyobaguliwa.
Kila anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma chochote kilichoandikwa, na anaweza kuandika chochote kinachosemeka!.NI vizuri watu wakasoma actually nimeandika nini... maana wengine wanachangia wakidhania kuwa nimeandika nini.