Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Kazi ipoo haswa....Lumumba inahitaji fire brigadeKama hii ni kweli iko kazi!
Kazi ipoo haswa....Lumumba inahitaji fire brigadeKama hii ni kweli iko kazi!
Asalaam aleikhum wanajukwaa
Kwa takribani kipndi kama cha mwezi mzima uliopita kumeibuka msuguano mkubwa sana hasa kwenye mitandao ya kijamii kati ya wafuasi wa CHADEMA dhidi ya wafuasi wa chama cha ACT.
Msuguano huo hasa unahusisha wale wafuasi wa CHADEMA kurusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA ndugu Zitto kwa kumuita -------, Anatumiwa na CCM kuuwa upinzani, Anaandaliwa mikutano yake na CCM na shutuma nyinginezo nyingi nyingi tu sina haja ya kuzirudia hapa.
Lakini kwa upande wa huyo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA yeye alishapigia mstari kule alikokuwepo na ameanza safari yake mpya katika chama kipya na ambacho amakiasisi yeye mwenyewe wakati akiwa bado na kesi dhidi ya CHADEMA na hatukuwai kumsikia ama haijathibitishwa ya kwamba huko ACT alipohamia amekuwa akiwatuhumu ama kuwashambulia viongozi wa chama chake cha zamani lakini pia chama chake cha zamani.
Sasa nirudi katika hoja ya kwanini Mbowe, Slaa na baadhi ya wanachama wa chadema walio watiifu kwa Mbowe na wale wafuata mkumbo wanahofu dhidi ya ZITTO?
Ni ukweli usiopingika Mbowe na Zitto ndio waliotumia muda mwingi kukijenga chama hicho na kuwaaminisha Watanzania kwamba muarubaini wa matatizo yao umepatikana na katika pilika za kukujenga chama hicho ndugu Zitto aliwavutia vijana wengi sana kuipenda siasa hasa ikizingatiwa kipindi kile hakukuwa na vijana waliokuwa wanavutiwa na siasa.
Kwa mantiki hiyo ndani ya CHADEMA kuna viongozi wengi ambao wamekuwa wakinungunika muda mrefu sana kutokana na aina ya uongozi wa mabavu ambao mwenyekiti na katibu wake pamoja na wale vipenzi vyao wanaoutumia.
Na wamekuwa hawana sehemu ya kusema kwa kuwa wako ndani ya chama lakini wametengwa na ni wanamageuzi wa ukweli kabisa nikiwa na maana hawawezi kuhamia chama tawala kwa hiyo wamekuwa kwa muda mrefu wakivumilia vurugu zote na mabavu ya Mwenyekiti na genge lake.
Sasa hofu inakuja zaidi kwa Mwenyekiti na genge lake kwa kuwa wale Makamanda sasa wanamahali pakuelekea na hasa baada ya kuona mwanzo wa ziara za ACT na hali yakuwa Makamanda hao wanaushawishi mkubwa sana katika jamii inayowazunguka.
Wasalaam
CDM mnatapatapa na fake emails!
Unajua ccm wanakipana kiinua mgongo na pensheni kiasi gani? Hata hivyo kama wanachama wanaridhika na kazi za viongozi wao kuna ubaya gani kuwalipa mafao wakimaliza muda wao au wakistaafu? Taasisi zote hufanya hivyo.
Wana Chadema watapambana na CCM na vivuli vyake.....Asante Tumaini Makene . Tupo tayari na imara kwa mapambano........WanaCHADEMA watapambana na CCM na vivuli vyake ambavyo vingine vinajitokeza kwa staili mbalimbali kama vyama vipya vya siasa.
Bottom line ya mapambano haya ni kuitungua CCM na vivuli vyake...
CHADEMA chini ya wanachama, wafuasi, wapenzi na mashabiki wake walio nchi nzima, mijini na Vijijini chini ya uongozi wa viongozi waandamizi wa chama kwa sasa inao wajibu mmoja mkubwa; kusimamia na kuratibu matamanio ya Watanzania kuhakikisha CCM inaondoka madarakani kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Katika mchakato huo ambao ni sehemu ya mchakato mkubwa wa kupigania haki na matumaini ya Watanzania baada ya CCM kuonesha kila kigezo cha sera zake kushindwa, WanaCHADEMA watapambana na CCM na vivuli vyake ambavyo vingine vinajitokeza kwa staili mbalimbali kama vyama vipya vya siasa.
Mshaurini Kiongozi Mkuu wa hicho chama, lazima aelewe kuwa Watanzania si wajinga. Alitumika akiwa ndani ya CHADEMA na upinzani hawezi kuacha kutumika leo kama alivyosema mwenzetu mmoja jukwaani hapa.
Kama mikutano yote ya hadhara anayofanya agenda inakuwa ni 'kuisaka' CHADEMA hata mbumbumbu wa siasa zinavyokwenda sasa anajua kuwa mission ya tangu wakati ule ikiwemo hata 'kuuza' majimbo inaendelea ambayo ni kazi ya kuisaidia CCM.
Hapo ndipo ulipolala msingi wa usaliti ambao leo anajaribu kujitenga nao.
Bottom line ya mapambano haya ni kuitungua CCM na vivuli vyake.
@Moderators...
Nina swali. Kama Zitto alikuwa na ufuasi mkubwa kama mnavyosema, ilikuwaje 2010 majimbo mengi Kigoma yalichukuliwa na NCCR-Mageuzi?? Huo ufuasi uko wapi ni kwa maneno au matendo?
yeah..hata walishika ile barua ya kupindua chama,iliitwa fake,pia walikuwa na kikao fake cha kumfukuza mzaledno fake,pia walikuwa na kikao fake cha kumalizia game baada y amri ya mahakama?CDM mnatapatapa na fake emails!
Ndugu ingekuwa vyema japo kidogo ukatafakari haya yaliyomo kwenye hili bandiko...
Na kwa kuongezea tu humu humu jukwaaani walitokea watu wengi sana kuishauri chadema hasa kwa wakati huu wasimfukuze ila wakapuuza na niko na wasiwasi mkubwa sana kama Lissu hajui alilokuwa analifanya...
Na swali kwako wewe ndugu Lissu kuwa kiherehere katika sakata la Zitto je alikuwa anatumiwa na nani?? Ni kweli Mbowe alikuwa anamtumia Lissu?? Ama ni watawala walikuwa wanamtumia Lissu??
Mbowe ni fisadi namba moja nchi hii kila mtu anajua
CDM walimpa kitanzi ajinyonge..na time ilikuwa haipo ktk upande wake..kwani CDM wangeendelea mweka au angechelewa kwenda jenga ACT ambayo tayari watuw alikuwa jangwani wanataabika kwa njaa na walikuwa akimtukana na kumlaani mungu wa underworld.Unadhani kwanini Zitto alivunja kanuni kwa makusudi na kwenda mahakamani akijua kwa kufanya hivyo atavuliwa uanachama?Zitto mwenyewe alikiri kuwa alianzisha ACT akiwa ndani ya CDM,hata kama CDM ingemsamehe angekuja na lingine kukivuruga chama ili afukuzwe awahi uongozi mkuu wa chama ACT.
Amini nakuambia huyu jamaa tangu zamani sana nikuwa namwita PSYCHOPATIC na Sijabadili..huyu jamaa ni sadist tayari life ni meaningless..anasubiri jitundika km Yuda..CHADEMA chini ya wanachama, wafuasi, wapenzi na mashabiki wake walio nchi nzima, mijini na Vijijini chini ya uongozi wa viongozi waandamizi wa chama kwa sasa inao wajibu mmoja mkubwa; kusimamia na kuratibu matamanio ya Watanzania kuhakikisha CCM inaondoka madarakani kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Katika mchakato huo ambao ni sehemu ya mchakato mkubwa wa kupigania haki na matumaini ya Watanzania baada ya CCM kuonesha kila kigezo cha sera zake kushindwa, WanaCHADEMA watapambana na CCM na vivuli vyake ambavyo vingine vinajitokeza kwa staili mbalimbali kama vyama vipya vya siasa. Mshaurini Kiongozi Mkuu wa hicho chama, lazima aelewe kuwa Watanzania si wajinga. Alitumika akiwa ndani ya CHADEMA na upinzani hawezi kuacha kutumika leo kama alivyosema mwenzetu mmoja jukwaani hapa. Kama mikutano yote ya hadhara anayofanya agenda inakuwa ni 'kuisaka' CHADEMA hata mbumbumbu wa siasa zinavyokwenda sasa anajua kuwa mission ya tangu wakati ule ikiwemo hata 'kuuza' majimbo inaendelea ambayo ni kazi ya kuisaidia CCM. Hapo ndipo ulipolala msingi wa usaliti ambao leo anajaribu kujitenga nao. Bottom line ya mapambano haya ni kuitungua CCM na vivuli vyake. @Moderators...
Amini nakuambia huyu jamaa tangu zamani sana nikuwa namwita PSYCHOPATIC na Sijabadili..huyu jamaa ni sadist tayari life ni meaningless..anasubiri jitundika km Yuda..
ID zote za ZItto na Kitilla maarufu hapa JF including zile wanazozitumia bila maficho...wamelia ktk kuthibitisha hiyo misamiati unaotaka anzidha hapa....NIKUBANA WEWE USEME MAANA YAKE NA MAHUSIANO YAKE NA ZITTO utalia sana hapa.Kafulila ndio reference yako,siku hizi unatoa reference kwa slave wako?Km vi harudu mwambie akaitafute hiyo hafuru ktk hicho chama chenye katiba km mashairi ya freestyle ya Hawavumi ila wapo.Zito ni mwanasiasa smart kuliko mwanasiasa yoyote nchi hii,nyie na saccos yenu ya wachaga mtabaki mnaropoka tu na mwaka huu ndo mwisho kutafuna ruzuku,laana ya ubaguzi n udini itawatafuna poppote pale Kafulila alishasema Chadema hakuna demokrasia ila kuna harufu yake.
Makao Makuu ya Chadema kila siku vikao namna ya kumdhibiti Zitto.
Mbowe amekasirika sana kazi aliyowapa Bavicha ya kumchafua Zitto mitandaoni imefeli, matokeo yake Watanzania wanazidi kumpenda