BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 8,631
- 22,149
Naenda moja kwa moja kwenye lengo kuu.
Ndugu yenu BICHWA KOMWE muda wote nina hofu sana na kunuka mdomo.
Licha ya usafi mkali ninaopiga mpaka koromeo linaomba poo, lakini niko makini vibaya na mdomo. Kila wakati najinusa na kujipiga mouth wash.
Kuna wakati nilifukuzwa na mama mwenye nyumba kutokana na kupiga mswaki kwa makelele na kugohoa.
Niko conscious sana na domo. Kuna jamaa angu huwa namuuliza kama nanuka mdomo ananiambia sinuki. Lakini bado nina mashaka.
Hii hofu ya kunuka mdomo na wakati domo halinuki inatoka wapi?
Halafu nani alianzisha haya mambo ya kunuka mdomo ndo yanatusumbua akili sana.
Sijui ni wale jamaa wa ile kanda wanaopiga miswaki kwa miti? wana harufu wale! Hee. Anyway tuyaache hayo.
Karibuni sana kwa maoni.
Ndugu yenu BICHWA KOMWE muda wote nina hofu sana na kunuka mdomo.
Licha ya usafi mkali ninaopiga mpaka koromeo linaomba poo, lakini niko makini vibaya na mdomo. Kila wakati najinusa na kujipiga mouth wash.
Kuna wakati nilifukuzwa na mama mwenye nyumba kutokana na kupiga mswaki kwa makelele na kugohoa.
Niko conscious sana na domo. Kuna jamaa angu huwa namuuliza kama nanuka mdomo ananiambia sinuki. Lakini bado nina mashaka.
Hii hofu ya kunuka mdomo na wakati domo halinuki inatoka wapi?
Halafu nani alianzisha haya mambo ya kunuka mdomo ndo yanatusumbua akili sana.
Sijui ni wale jamaa wa ile kanda wanaopiga miswaki kwa miti? wana harufu wale! Hee. Anyway tuyaache hayo.
Karibuni sana kwa maoni.