hodiii

i'm osama

Member
May 3, 2011
13
1
hi wana JF, kwa mara ya kwanza najitokeza, nipo hai, km huamini onyesha mwili wangu nikwa nimeuawa.
 
by the way, nabisha hodi ndani ya JF tushindane kwa hoja bila matusi wala kejeli, nilijifunza kiswahili hapa hapa bongo, msishangae muarabu kuandika kiswahili cha kisela.
 
umefufukia baharini? au ndo umegeuka chunusi, bahati nzuri JF haibagui, njoo tu.
 
karibu sana,naomba unifundishe mbinu ya ugaidi,...........
 
Karibu sana Osama nasikia walikuuwa usiku wakakuzika asubuhi baharini lakini yote hayo wamefanya kwa siri
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom