Salaamu nyingi ziwafikie naomba kupokelewa.Nimekuwa mgeni wa jamii hii kwa muda kidogo lakini nimefikia uamuzi wa kujiunga na kushiriki mijadala mingi inayoanzishwa hapa na washiriki katika forum hii.
Wana ndugu narudia kuomba kupokelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.