allesandro 2021
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 142
- 154
Habari wana jukwaa. Napenda kutumia fursa hii kuuliza mawili matatu kuhusu Zanzibar. Mimi nipo Zanzibar (Unguja) kikazi kuanzia Jumapili tarehe 1 Agost hadi Ijumaa tarehe 6 Agosti. Mimi ni mwanaume na ni mgeni kabisa hapa kisiwani.
Naomba kwa anayefahamu anijuze maeneo gani ya kujirusha jioni baada ya kazi (penye muziki,vinywaji,chakula na totoz).
Mimi nimefikia Zanzibar Beach Resort.
Ahsanteni
Naomba kwa anayefahamu anijuze maeneo gani ya kujirusha jioni baada ya kazi (penye muziki,vinywaji,chakula na totoz).
Mimi nimefikia Zanzibar Beach Resort.
Ahsanteni