hodi wazee wa jf naombeni msaada!

hodi wazee wa jf naombeni msaada!

M2ru

Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
34
Reaction score
3
mimi ni kijana ambaye nimemaliza chuo mwaka juzi, kipindi nikiwa chuoni nilibahatika kuwa na mchumba aliyekuwa ametokea Canada, tulipendana sana, ila mwenzangu alinionjesha mambo ya kigeni(tigo) na kibaya zaidi tulizoea hako kamchezo mpaka ikafika hatua tunatinga na mtoni tu na baharini hatutii nanga tena. sasa mm nilivyomaliza chuo yy aliendelea mwaka mmoja ikawa nkihitaji kumtumia namuona haina shida, ila sasa ameondoka, nikifanya mapenzi na mtu mwingine kwa njia ya kawaida siridhiki kabisa, nahangaika sana jamani wana jf nifanyeje?? na mademu wetu wa bongo ni ngumu kumpata wa kutoa tigo kama yupo nielekezeni jamani nateseka au nipeni ushauri nifanyeje. asanteni nangojea ushauri wenu.
 
Lucifa anakuja kukushauri stay tunned, hakuna kitu kinaniudhi kama mtu kutotambua upumbavu wake halafu anakuja kutafuta justification,umeambiwa hapa kuna customer care ya hao wanaotoa tigo..................bila aibu ''mademu wetu wa bongo ni ngumu kumpata wa kutoa tigo kama yupo nielekezeni jamani nateseka au nipeni ushauri nifanyeje.'' cha kukusaidia nenda katafute psychologist upate ushauri.
 
heeeee jichoo... Jichoo la ng'ombe.... Kaanga kaaanga na wewe lakuangalia tuu
 
Nenda kwenye ushauri nasaha (proffesional).Na maombi katika Roho na kweli utapona tu..Ukitegemea akili zako hutaweza.Jipe moyo mkuu Mungu anasamehe dhambi ili mradi tu utubu kwa moyo utapewa second chance na kuwa kiumbe kipya the rest will be history
 
Msiwe mnasema na Elimu zenu aisee mnaziabisha sana! ENYI WASOMI WA KIZAZI CHA Baba Riz1,jambo kama hilo unamalizana nalo hukohuko Uraian! Cio Jf jamani!!
 
Aiseeee pole sana inabidi uanze kuzoea njia nyingine!
Hayo ndo madhara ya huo mtandao!
 
mimi ni kijana ambaye nimemaliza chuo mwaka juzi, kipindi nikiwa chuoni nilibahatika kuwa na mchumba aliyekuwa ametokea Canada, tulipendana sana, ila mwenzangu alinionjesha mambo ya kigeni(tigo) na kibaya zaidi tulizoea hako kamchezo mpaka ikafika hatua tunatinga na mtoni tu na baharini hatutii nanga tena. sasa mm nilivyomaliza chuo yy aliendelea mwaka mmoja ikawa nkihitaji kumtumia namuona haina shida, ila sasa ameondoka, nikifanya mapenzi na mtu mwingine kwa njia ya kawaida siridhiki kabisa, nahangaika sana jamani wana jf nifanyeje?? na mademu wetu wa bongo ni ngumu kumpata wa kutoa tigo kama yupo nielekezeni jamani nateseka au nipeni ushauri nifanyeje. asanteni nangojea ushauri wenu.
Hivi ulipofikia uamuzi wa kuomba msaada wa aina hii hapa, ulishajiuliza ni nini maana hasa ya kitendo ulichokifanya.
Na ulipokuwa unaandika kuomba msaada, moyoni mwako ulikuwa unajisikiaje?
 
Ni pepo hilo...nenda ukafanyiwe maombi na utube kweli. Yaani hata hujutii huo upuuzi? Kweli Devil noma.
 
Back
Top Bottom