Hodi waungwana!

QUOTE=Ahmad Mussa;2683091]Ahsante sana kaka![/QUOTE]
Unakaribishwa sana sana mkuu
Jukwaa linakuhitaji sana sana
Lol
 
Ngoja nimletee achangamshe kinywa! Karibu sana mgeni, jisikie upo nyumbani sebuleni!

Mgeni mwenyewe anachagua kinywaji bana
Inaonekana hana njaa huyu
Na mwambie aishie hapo hapo sebuleni asije chumbani kabisa
 
Haina shida kabisa, ye aseme kinywaji chochote tu atapata ilimradi pozi zisizidi!
Mgeni ana mapozi huyo mpaka anaharibu sasa. Itakuwa hata chakula umuulize anakula nini usije ukampa wali mandondo akaanza kuleta pozi zake anataka chips kuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom