Ahmad Mussa
Member
- Oct 21, 2011
- 46
- 19
Mimi ni mwanachama mpya naomba ushirikiano wenu!
Ahsante sana kaka!Karibu sana mkuu. Unakaribishwa kuleta michango yako ya maana
Ahsante sana!Karibu muungwana, nafasi yako i wazi.
Huwa situmii hiyo, napendelea ya nanasi, mastafeli, Limao, Mabungo, Mapera, Tufaa naKipipi hebu mletee juice ya ukwaju huyu mgeni
Kipipi hebu mletee juice ya ukwaju huyu mgeni
Mgeni gani wewe unachagua kinywajiHuwa situmii hiyo, napendelea ya nanasi, mastafeli, Limao, Mabungo, Mapera, Tufaa na
Zambarau!
Ngoja nimletee achangamshe kinywa! Karibu sana mgeni, jisikie upo nyumbani sebuleni!
Nimekuelewa kwa kuwa sipendi hicho nilichoandaliwaMgeni gani wewe unachagua kinywaji
Tutakufukuza
Unatakiwa ule na unywe kilichopo
Huwa situmii hiyo, napendelea ya nanasi, mastafeli, Limao, Mabungo, Mapera, Tufaa na
Zambarau!
Ngoja Kipipi aangalie stock yake akutengenezee usije ukafa njaa mgeni wetuNimekuelewa kwa kuwa sipendi hicho nilichoandaliwa
nitasema nimeshiba!
Mtayarishie aise maana naona ashaanza kupiga miayo hapa asije akatumeza bureUsijali mgeni, hizo choices zako zote zipo. Tumbo lako tu!
Mgeni mwenyewe anachagua kinywaji bana
Inaonekana hana njaa huyu
Na mwambie aishie hapo hapo sebuleni asije chumbani kabisa
Mgeni ana mapozi huyo mpaka anaharibu sasa. Itakuwa hata chakula umuulize anakula nini usije ukampa wali mandondo akaanza kuleta pozi zake anataka chips kukuHaina shida kabisa, ye aseme kinywaji chochote tu atapata ilimradi pozi zisizidi!
Mtayarishie aise maana naona ashaanza kupiga miayo hapa asije akatumeza bure
Mbona mgeni anachungulia vyumbani aise wakati hajakaribishwaHahahahaaa! Hapa ni full kujirambaaa, atatabasamu mwenyewe tu if not kuomba nyongeza kabisa!