mshikachuma JF-Expert Member Dec 2, 2010 2,853 626 Dec 2, 2010 #1 Hello wanaJF! mambo zenu? Anyway hatimae niko in ze house. Nitapenda kushirikiana na ninyi ktk topic mbalimbali pale panapobidi kufanya hivyo! Ahsanteni!
Hello wanaJF! mambo zenu? Anyway hatimae niko in ze house. Nitapenda kushirikiana na ninyi ktk topic mbalimbali pale panapobidi kufanya hivyo! Ahsanteni!
Kachanchabuseta JF-Expert Member Mar 8, 2010 7,269 675 Dec 2, 2010 #2 KARIBU mpaka chumbani ila jishike mwenyewe kwanza
Fab JF-Expert Member Apr 16, 2010 757 14 Dec 2, 2010 #3 mie nimevaa jinsi na mkanda kama mke wa ndugu mmoja hapa jamvini..lol Karibu!
Z ZeMarcopolo Platinum Member May 11, 2008 14,019 7,223 Dec 2, 2010 #4 Chuma cha reli au cha pua? Bora wewe unayeshika chuma, kuliko wale wanaoshika pembe. Karibu sana kama u mpya, kama mzoefu aluta continua.
Chuma cha reli au cha pua? Bora wewe unayeshika chuma, kuliko wale wanaoshika pembe. Karibu sana kama u mpya, kama mzoefu aluta continua.
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 Dec 2, 2010 #5 Karibu ila anaglia usije ukashikwa wewe kabala ya kutushika!
YeshuaHaMelech JF-Expert Member Oct 12, 2010 2,597 37 Dec 2, 2010 #6 Unataka kumshika nani sasa :ban: Karibu hata hivyo na hatushikiki!
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,080 Dec 3, 2010 #8 Karibu ila usinishike kwanza hadi ufikishe posti 5000 lol!!! Welcome
KIMICHIO JF-Expert Member Aug 12, 2010 1,179 80 Dec 3, 2010 #9 Karibu ila angalia usije shika ukuta mana umepakwa rangi na haujakauka.
K KERENG'ENDE JF-Expert Member Nov 14, 2010 398 31 Dec 3, 2010 #10 Karibu na utuambie vizuri unataka kutishika wapi!
Ubumuntu JF-Expert Member Oct 21, 2010 14,316 10,782 Dec 3, 2010 #12 Karibu sana mkubwa. Ila usishike kwa mikono utaungua maana pamoto hapa.
papason JF-Expert Member Sep 14, 2010 5,119 5,683 Dec 3, 2010 #13 Ohoooo huuu ni mtambo wa Chuma haushikiki... all in all karibuu sanaaa kwenye jamvi hili la CDM