Non-Celebrity
Member
- Apr 4, 2011
- 6
- 0
Kwa heshima na taadhima, nabisha hodi kwenu wanaJF, namshukuru mwanaJF mwenzenu MpigaKelele aliyenihabarisha habari za JF na MMU wanavyowezesha kupata unachokihitaji. ni matumaini yangu kuwa tutashirikiana kwa kila hali. Ahsanteni