Jamvi letu hili na lidumu milele,niwatake radhi wana Jf wote kwa kutokutoa salaamu ya kimember namna hii kutokana na sababu lukuki,nawaombeni tuendelee kuwa pamoja katika hoja,vitimbi,mikasa,mipasho (habari) na katika harakati tofauti ikiwa ni kutengeneza umoja,kuamsha hamasa na kujenga fikra kama ma great thinkers.
Nawashukuru sana...much regards to you all,much love!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.