Msela Ngoto
Member
- Jun 10, 2018
- 29
- 28
Habari zenu wadau..!
Kwa heshima na taadhima naomba mnipokee hapa jamvin kama mdau mpya...!
JF ni sehemu nzuri ya kubadilishana mawazo, ujuzi uzoefu katika changamoto zinatotukabili kama jamii..!
Natanguliza shukrani za dhati....
Msela Ngoto
Kwa heshima na taadhima naomba mnipokee hapa jamvin kama mdau mpya...!
JF ni sehemu nzuri ya kubadilishana mawazo, ujuzi uzoefu katika changamoto zinatotukabili kama jamii..!
Natanguliza shukrani za dhati....
Msela Ngoto