hodi kilimanjaro

hodi kilimanjaro

Lady G

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
515
Reaction score
131
from dar to moshi. Nina wiki moja sina kampani wana moshi hebu nikaribisheni mwenzenu nijisikie nipo nyumbani.
 
Na hiyo baridi unaikabili vipi?
 
Shosti karibu mwaya kwenye kamji ketu hako. Too bad siko ningekualika kwetu na nikuonyeshe sehemu sehemu.
 
Mi niko KDC,ngoja niende KB(kiborloni)halafu nitaenda msaranga kidogo,nitampitia jamaa yangu majengo halafu nitakupitia town kwan we upo mitaa gani?
 
Lady huyo jamaa hapo juu anakuingiza chaka. Hizo sehem anazisikia tuu kwenye vyombo vya habari hata kukanyaga hajawahi. So ukimsikiliza tuu imekula kwako
 
Huyo jamaa hapo juu ni mwongo mbaya!Achana nae nilikuwa nimesahau nitapitia mnazi mmoja mpaka kwa Mbwaruki halafu ndo nitakupitia we niambie tu ulipo!
 
Mhhh maeneo mengine unayoyataja hata kuwahi kufika hujawahi fika
Wacha kumuingiza mjini mtoto wa watu
 
Lady G nitakupokea kwa miguu miwili,achana na maneno ya watu!
 
Aisee shost me niko mitaa ya kcmc,we uko wap nije kukuchukua 2kadhurure marangu.
 
Karibu Polisi officers Mess mishale ya saa saba hivi tule mbusi na Serengeti.....Nipo kwa mda moshi kesho narudi dar.... Karibu molyi!
 
Back
Top Bottom