T TheBulldozer New Member Apr 27, 2009 3 0 Apr 27, 2009 #1 Mambozzz wenye nyumba na wenyeji. Naomba kukaribishwa jamvini. Waislam Assalaam Alaikum, wakristo Bwana Asifiwe, wengineo nawasalimia.
Mambozzz wenye nyumba na wenyeji. Naomba kukaribishwa jamvini. Waislam Assalaam Alaikum, wakristo Bwana Asifiwe, wengineo nawasalimia.
Outlier JF-Expert Member Dec 28, 2008 323 17 Apr 27, 2009 #2 TheBulldozer said: Mambozzz wenye nyumba na wenyeji. Naomba kukaribishwa jamvini. Waislam Assalaam Alaikum, wakristo Bwana Asifiwe, wengineo nawasalimia. Click to expand... Salaam, karibu sana!
TheBulldozer said: Mambozzz wenye nyumba na wenyeji. Naomba kukaribishwa jamvini. Waislam Assalaam Alaikum, wakristo Bwana Asifiwe, wengineo nawasalimia. Click to expand... Salaam, karibu sana!
Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Apr 28, 2009 #4 Karibu sana. Kwa uhondo utaoufaidi humu ndani, naamini utaalika na wengine wajiunge. Again, karibu sana.
Karibu sana. Kwa uhondo utaoufaidi humu ndani, naamini utaalika na wengine wajiunge. Again, karibu sana.
K Kyachakiche JF-Expert Member Feb 16, 2009 983 207 Apr 28, 2009 #6 Mlango uko wazi wee usukume tu. Tusker Bariidi na Makonyagi watakuchagulia kinywaji.