Waislam wanapofunga, wanafanya kile ambacho biblia imesema na hakifanywi na wafungaji wa kikristo

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,600
15,399
Waislam wakifunga hata usiyemuislam utafaidi. Sio wachoyo, Sio wabaguzi kwenye futari. Nimewahi kupanga nyumba moja na waislam ikifika mfungo sisi wakristo tulikuwa tunafaidi sana. Kikipikwa chakula cha kufuturu na sisi tumo kwenye bajeti hata kama wanajua hatujafunga.

Wakristo tukifunga, mara nyingi futari inakiwa ya kichoyochoyo. Mtu anajifichaficha. Asiyehusika akisogelea msosi utasikia, huu ni wa waliyefunga au haujui mimi nilikuwa nimefunga.

Ile bajeti ya chakula ambayo atakuwa ameikwepa kwa kufunga badala ya kuitumia kama sadaka kwa kuwezesha wasio na chakula wengi wanachukulia kama savings. Amesevu kwa matumizi yake ya baadae.

Tumesahau
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
 
Waislam wakifunga hata usiyemuislam utafaidi. Sio wachoyo, Sio wabaguzi kwenye futari. Nimewahi kupanga nyumba moja na waislam ikifika mfungo sisi wakristo tulikuwa tunafaidi sana. Kikupikwa chakula cha kufuturu na sisi tumo kwenye bajeti hata kama wanajua hatujafunga.

Wakristo tukifunga, mara nyingi futari inakiwa ya kichoyochoyo. Mtu anajifichaficha. Asiyehusika akisogelea msosi utasikia, huu ni wa waliyefunga au haujui mimi nilikuwa nimefunga.

Ile bajeti ya chakula ambayo atakuwa ameikwepa kwa kufunga badala ya kuitumia kama sadaka kwa kuwezesha wasio na chakula wengi wanachukulia kama savings. Amesevu kwa matumizi yake ya baadae.

Tumesahau
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Si hamia huko kiongozi
 
Waislam wakifunga hata usiyemuislam utafaidi. Sio wachoyo, Sio wabaguzi kwenye futari. Nimewahi kupanga nyumba moja na waislam ikifika mfungo sisi wakristo tulikuwa tunafaidi sana. Kikupikwa chakula cha kufuturu na sisi tumo kwenye bajeti hata kama wanajua hatujafunga.

Wakristo tukifunga, mara nyingi futari inakiwa ya kichoyochoyo. Mtu anajifichaficha. Asiyehusika akisogelea msosi utasikia, huu ni wa waliyefunga au haujui mimi nilikuwa nimefunga.

Ile bajeti ya chakula ambayo atakuwa ameikwepa kwa kufunga badala ya kuitumia kama sadaka kwa kuwezesha wasio na chakula wengi wanachukulia kama savings. Amesevu kwa matumizi yake ya baadae.

Tumesahau
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
tofautisha kufunga, na kubadilisha ratiba ya kula. kipindi kama hiki chakula kinaliwa kuliko vipindi visivyo vya mfungo, bajeti ya chakula inakuwa kubwa kuliko ile ya kipindi kisicho cha mfungo, kuanzia jioni watu wanakula hadi tumbo linasema samahani. hiyo sio funga, ni dini.
 
Futari sio terminology mojawapo katika Ukristo. Wakristo hawana utaratibu wa kubadili ratiba ya kula inayosababisha bei za vyakula masokoni kupanda na consumption kuongezeka mpaka serikali inajua sukari na mafuta ya kupikia vinabidi viwe available na stable. Na masokoni bei za vyakula zinachangamka huku mazao kama viazi na mihogo yakiongezwa upatikanaji.

Alafu asiyefanya kazi asile, fanya kazi acha kutaka kudowea vya bure. Yani wapangaji wenzako wakulishe kwani wewe ni chokoraa huna uwezo. Wasaidiwe wasiojiweza sio kila mtu.
 
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Muhimu sana hili kuzingatia
 
MATHAYO 6: 16 INASEMA: 16 Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso; 18ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
 
Waislam wakifunga hata usiyemuislam utafaidi. Sio wachoyo, Sio wabaguzi kwenye futari. Nimewahi kupanga nyumba moja na waislam ikifika mfungo sisi wakristo tulikuwa tunafaidi sana. Kikupikwa chakula cha kufuturu na sisi tumo kwenye bajeti hata kama wanajua hatujafunga.

Wakristo tukifunga, mara nyingi futari inakiwa ya kichoyochoyo. Mtu anajifichaficha. Asiyehusika akisogelea msosi utasikia, huu ni wa waliyefunga au haujui mimi nilikuwa nimefunga.

Ile bajeti ya chakula ambayo atakuwa ameikwepa kwa kufunga badala ya kuitumia kama sadaka kwa kuwezesha wasio na chakula wengi wanachukulia kama savings. Amesevu kwa matumizi yake ya baadae.

Tumesahau
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Mkuu ukristo wa sasa ni upagani uliopakwa rangi nzuri ya umagharibi na kunyunyuziwa manukato ya kunukia uyahudi!
 
Rarueni mioyo yenu wala si mavazi yenu

tuna tofaut kubwa sana wakati wa kufunga wakristo huwasikiii wakipita ujitangaza nime funga nime funga,

Hatubadiri Hata iyo ratiba ya chakula huwa ni Ile Ile hatuna hizo futari futari kama wengine hi ndio sababu

Kama Kuna mtu kakunyima chakula ni yey tuuu Lakin sio utaratibu wa wakristo wote


Dini ni Imani amin kinacho kupa Imani kama huamin katika biblical amini msahafu au kingine
 
tofautisha kufunga, na kubadilisha ratiba ya kula. kipindi kama hiki chakula kinaliwa kuliko vipindi visivyo vya mfungo, bajeti ya chakula inakuwa kubwa kuliko ile ya kipindi kisicho cha mfungo, kuanzia jioni watu wanakula hadi tumbo linasema samahani. hiyo sio funga, ni dini.
Aiseeee
 
Matendo mema yenyewe wanasubiria hadi Ramadhani ifike wakati kwetu sisi wakristu ni utamaduni wetu

Kifupi wanapenda show-on
 
Waislam wakifunga hata usiyemuislam utafaidi. Sio wachoyo, Sio wabaguzi kwenye futari. Nimewahi kupanga nyumba moja na waislam ikifika mfungo sisi wakristo tulikuwa tunafaidi sana. Kikupikwa chakula cha kufuturu na sisi tumo kwenye bajeti hata kama wanajua hatujafunga.

Wakristo tukifunga, mara nyingi futari inakiwa ya kichoyochoyo. Mtu anajifichaficha. Asiyehusika akisogelea msosi utasikia, huu ni wa waliyefunga au haujui mimi nilikuwa nimefunga.

Ile bajeti ya chakula ambayo atakuwa ameikwepa kwa kufunga badala ya kuitumia kama sadaka kwa kuwezesha wasio na chakula wengi wanachukulia kama savings. Amesevu kwa matumizi yake ya baadae.

Tumesahau
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
Uroho tu

Hayo maandiko hapo ndo yanwaunbua kabisa hao WAISLAM
Tumeambiwa swaumu ya kweli sio kufunga na kufuturu tu, bali swaumu ya kweli ni kuwasaidia wenye uhitaji, yatima, wajane, wagonjwa, maskini nk!

Swaumu ya kweli yani Ile Ibada ya kweli ni kujitoa Kwa wengine WASIO nacho kama sadaka ndo inaleta majibu mazuri. Acha kutafsiri vibaya maandiko

Kwahiyo kwenu mnalala njaa mnaponea futari ya jirani? Nyie kualikwa sahani ya tambi na kikombe Cha uji ndo mmeona sadaka?

Wangepika mavyakyla kama hayo wakaenda kulisha yatima, wangenunua nguo wakaenda mitaani kuwavika WASIO na mavazi, wangenunua mahitaji wakaenda kuwapa maskini na wagonjwa hapo ndo wangetimiza swaumu inayokubalika mbele za Mungu baba.

Acha uroho mwamba
 
Waislam wakifunga hata usiyemuislam utafaidi. Sio wachoyo, Sio wabaguzi kwenye futari. Nimewahi kupanga nyumba moja na waislam ikifika mfungo sisi wakristo tulikuwa tunafaidi sana. Kikipikwa chakula cha kufuturu na sisi tumo kwenye bajeti hata kama wanajua hatujafunga.

Wakristo tukifunga, mara nyingi futari inakiwa ya kichoyochoyo. Mtu anajifichaficha. Asiyehusika akisogelea msosi utasikia, huu ni wa waliyefunga au haujui mimi nilikuwa nimefunga.

Ile bajeti ya chakula ambayo atakuwa ameikwepa kwa kufunga badala ya kuitumia kama sadaka kwa kuwezesha wasio na chakula wengi wanachukulia kama savings. Amesevu kwa matumizi yake ya baadae.

Tumesahau
Isaya 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?

Isaya 58:7
Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usijifiche na mtu mwenye damu moja nawe?
MATHAYO 6: 16 INASEMA: 16 Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso; 18ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi
 
MATHAYO 6: 16 INASEMA: 16 Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso; 18ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
Hii tunaipita kama hatuioni.
 
Back
Top Bottom