Nimefurahishwa na ukumbi huu, nikaona heri nami nijumuike ili tubadilishane mawazo, tupashane habari na tujiendeleze kwa namna mbalimbali. Asanteni kwa kunihimiza nijiunge.
Hukulu wino
Nami nimeona nije walau tuchangie mawazo pamoja wans jamvi! Kuna kitu kimenikuna sana! Watanzania tumepata Uhuru huu lakini tumeanza nao kwa kulaumu kila kitu! Hata mtu akimchangia mgonjwa aende Hosp. ni issue! Mmh!
Nami nimeona nije walau tuchangie mawazo pamoja wans jamvi! Kuna kitu kimenikuna sana! Watanzania tumepata Uhuru huu lakini tumeanza nao kwa kulaumu kila kitu! Hata mtu akimchangia mgonjwa aende Hosp. ni issue! Mmh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.