Hodi hodi ukumbini!

hukumundo

JF-Expert Member
Oct 8, 2011
849
435
Nimefurahishwa na ukumbi huu, nikaona heri nami nijumuike ili tubadilishane mawazo, tupashane habari na tujiendeleze kwa namna mbalimbali. Asanteni kwa kunihimiza nijiunge.
Hukulu wino
 
Nami nimeona nije walau tuchangie mawazo pamoja wans jamvi! Kuna kitu kimenikuna sana! Watanzania tumepata Uhuru huu lakini tumeanza nao kwa kulaumu kila kitu! Hata mtu akimchangia mgonjwa aende Hosp. ni issue! Mmh!
 
welcome.gif.pagespeed.ce.-myCtz3Vgp.gif
ukumbini chukua seat!
 
Nami nimeona nije walau tuchangie mawazo pamoja wans jamvi! Kuna kitu kimenikuna sana! Watanzania tumepata Uhuru huu lakini tumeanza nao kwa kulaumu kila kitu! Hata mtu akimchangia mgonjwa aende Hosp. ni issue! Mmh!

Karibu kwanza ndani...
 
Back
Top Bottom