Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Honestly i love jf that's why nimeshindwa kuvumilia hadi ban iishe. NAOMBENI MNIPOKEE TENA. Wenu mtiifu A.M
asantekaribu tena
asanteni wote kwa kunipokea tena, nilikua natumia id ya angel msoffe na aliyenisababishia ban ni faizafox na malariasugu sababu ya ban ni kusema bi kiroboto na naibu wake.karibu sana halafu mkuu gonga hapa jamiiforums disclaimer and rules
MI THIJUI KUTHOMA KIDHUNGU!ikaribu sana halafu mkuu gonga hapa JamiiForums Disclaimer and Rules
asanteni wote kwa kunipokea tena, nilikua natumia id ya angel msoffe na aliyenisababishia ban ni faizafox na malariasugu sababu ya ban ni kusema bi kiroboto na naibu wake.
nafkiri kufanya hivyo, mshunga natia ni jina la bibi yangu!kumbe ni angel msofe! Omba msamaha kwa mods ile id irudishwe.....by the way mshunga natia maana yake nini?
tuu tuu twee kijamaika zaidi.:biggrin:Honestly i love jf that's why nimeshindwa kuvumilia hadi ban iishe. NAOMBENI MNIPOKEE TENA. Wenu mtiifu A.M