Hodi hodi jama naingia,

Angel Msoffe

JF-Expert Member
Jun 21, 2011
6,781
1,639
Honestly i love jf that's why nimeshindwa kuvumilia hadi ban iishe. NAOMBENI MNIPOKEE TENA. Wenu mtiifu A.M
 
Ulitumia id gani mwanzo? Karibu tena, ila zingatia kanuni na sheria za jf usipigwe ban tena!
 
asanteni wote kwa kunipokea tena, nilikua natumia id ya angel msoffe na aliyenisababishia ban ni faizafox na malariasugu sababu ya ban ni kusema bi kiroboto na naibu wake.

Kumbe ni angel Msofe! Omba msamaha kwa mods ile id irudishwe.....by the way MSHUNGA NATIA maana yake nini?
 
Back
Top Bottom