Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Jul 19, 2011 #1 naomba mnikaribishe waungwana. Wakubwa shikamooni. Wadogo marahaba. Wengine habari zenu. Nawapenda woooote.
naomba mnikaribishe waungwana. Wakubwa shikamooni. Wadogo marahaba. Wengine habari zenu. Nawapenda woooote.
First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Jul 19, 2011 #3 marrr hhaba mtoto mzuri pcm, karibu ee!
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Jul 19, 2011 #4 marahaba, hujambo? Jisikie upo nyumbani.
Likwanda JF-Expert Member Jun 16, 2011 3,910 1,131 Jul 19, 2011 #5 Marhaba kijana, karibu sana jukwaani lakini uendelee na heshima hiyo hiyo ktk kutoa au kuchangia mada.
Marhaba kijana, karibu sana jukwaani lakini uendelee na heshima hiyo hiyo ktk kutoa au kuchangia mada.
T The Priest JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,029 256 Jul 19, 2011 #6 Marhaba pcm,karibu sana jamvini..soma Jf rules kwnz.
Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Jul 22, 2011 Thread starter #13 nawashukuru wote mlionikaribisha. Pamoja sana. Mungu azidi kuwabariki.
Kwamex JF-Expert Member Apr 11, 2011 378 96 Jul 22, 2011 #14 Nani, Jairo? taratibu utatuvunjia mlango, bonyeza kakengele hako upande wa kulia juu ya mlango...karibu bana kumbe hamna umeme.
Nani, Jairo? taratibu utatuvunjia mlango, bonyeza kakengele hako upande wa kulia juu ya mlango...karibu bana kumbe hamna umeme.
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,565 52,202 Jul 22, 2011 #15 Karibuuuuuuuuu, tena wewe unafaa kwa kuwa unachungulia, wengine mmmmh.