hodi! Hodi! Hodiiii.

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
naomba mnikaribishe waungwana. Wakubwa shikamooni. Wadogo marahaba. Wengine habari zenu.
Nawapenda woooote.
 
Marhaba kijana, karibu sana jukwaani lakini uendelee na heshima hiyo hiyo ktk kutoa au kuchangia mada.
 
nawashukuru wote mlionikaribisha. Pamoja sana. Mungu azidi kuwabariki.
 
Nani, Jairo? taratibu utatuvunjia mlango, bonyeza kakengele hako upande wa kulia juu ya mlango...karibu bana kumbe hamna umeme.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom