Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
Habari wana jf, kutoka bungeni jioni hii.
Mh. Mkosamali amehoji juu ya kazi gani maalumu aliyonayo "waziri wa nchi,ofisi ya raisi kazi maalumu" profesa mark mwandosya.
Profesa alipopata nafasi ya kuchangia hoja alianza kwa kujibu hoja ya mkosamali kwa kusema "kazi niliyonayo ni maalumu".
Mkosamali alihoji suala hilo kwa kua haoni ulazima wa kua na wizara hiyo kwa kua pesa inayotumika kuendesha wizara ni nyingi na akashauri ifike wakati serikali ibane matumizi yasiyo ya lazima.
Mwana jf, wewe unadhani hiyo kazi maalum ya mh.mwandosya ni ipi ambayo haiwezi kutekelezwa na wizara nyingine ama taasisi nyingine za serikali?
Kinachogomba ni double standard ya kusimamia Kanuni NA Taratibu, hapo mtoa Hoja ndiyo ili bidi asimamie NA Hakukuwa NA kukufuru KITU, sisi Wote tuna mwisho haba duniani