hizi tutazisoma mpaka za kiarabu

hizi tutazisoma mpaka za kiarabu

siz

Senior Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
135
Reaction score
25
jamani watu tumesoma kwa shida inafikia mtu unatembea toka ubungo mpaka posta kutafuta degree sababu ya ugumu wa maisha unapata ajira serikali inasitisha ajira kupisha uhakiki mpaka leo mambo hayaeleweki watoto wa masikini mnatuua jamani kila jitihada zinashindikana tu.
 
Kwani ajira zinapatikana serikalini tu?

Na kwa nini usome shule/ chuo kwa matarajio ya kuja kuajiriwa serikalini?

Siasa za ujamaa na kujitegemea zimetulemaza sana aisee!!
 
Mkuu vumilia tu maana hamna namna.Bado tunawachenjua watumishi hewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom