Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 914
- 4,264
Ndege inapoondoka Dar es Salaam inajulikana for sure itatua Dodoma muda gani na miundombinu ya uwanja inajulikana.
Lakini Kwa tuliosoma Cuba tunaposikia ndege ya Yanga yashindwa kutua, ndege ya kiongozi mkubwa yashindwa kutua lakini ndege zenye abiria wasio na attention Kwa jamii hazikwami kushuka tunajiuliza maswali mengi. Baadhi ya maswali
1. Je, hakuna MTU anataka kuhujumu juhudi za Mhe. Rais baada ya kuonekana ikulu imekamilika Kwa asilimia Mia moja? Ionekane Dodoma hakuna kiwanja cha kuaminika cha kutua ili wakubwa waendelee kuishi Dar?
2. Au labda yupo kiumbe anawaza kuwatangazia wageni kwamba Dodoma siyo sehemu salama? Kwa lengo gani?
3. Au labda yupo MTU amenusa tender yakutengeneza uwanja wa Dodoma so anaanza kuwatisha viongozi ili file la tenda lipitishwe. Tukumbuke Mkakati WA serikali siyo kukarabati uwanja uliopo Bali kujenga uwanja wa msalato.
4. Waziri mwenye dhamana amekosa nguvu yakusimamia sekta anatakiwa aondolewe ofisini? Kwamba anahijumiwa?
5. Au labda uzembe tu kama ulivyo uzembe WA Watanzania waliozoea kutumbuliwa?
Uwanja hauna Taa na unawasha ndege kwenda kutua ukijua wazi uwez kutua? Tunacheza na uhai.
Lakini Kwa tuliosoma Cuba tunaposikia ndege ya Yanga yashindwa kutua, ndege ya kiongozi mkubwa yashindwa kutua lakini ndege zenye abiria wasio na attention Kwa jamii hazikwami kushuka tunajiuliza maswali mengi. Baadhi ya maswali
1. Je, hakuna MTU anataka kuhujumu juhudi za Mhe. Rais baada ya kuonekana ikulu imekamilika Kwa asilimia Mia moja? Ionekane Dodoma hakuna kiwanja cha kuaminika cha kutua ili wakubwa waendelee kuishi Dar?
2. Au labda yupo kiumbe anawaza kuwatangazia wageni kwamba Dodoma siyo sehemu salama? Kwa lengo gani?
3. Au labda yupo MTU amenusa tender yakutengeneza uwanja wa Dodoma so anaanza kuwatisha viongozi ili file la tenda lipitishwe. Tukumbuke Mkakati WA serikali siyo kukarabati uwanja uliopo Bali kujenga uwanja wa msalato.
4. Waziri mwenye dhamana amekosa nguvu yakusimamia sekta anatakiwa aondolewe ofisini? Kwamba anahijumiwa?
5. Au labda uzembe tu kama ulivyo uzembe WA Watanzania waliozoea kutumbuliwa?
Uwanja hauna Taa na unawasha ndege kwenda kutua ukijua wazi uwez kutua? Tunacheza na uhai.