CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 853
Nilikuwa naangalia clip ya mheshimiwa kwa sana.
Kwenye clip hiyo zilisikika sauti zikishangilia kila alichoongea mheshimiwa, nikawa najiuliza wanashangilia nini? Au sisikii vizuri anachoongea mheshimiwa? Nika-replay ile clip, kwa kweli maneno yaliyozungumzwa na mheshimiwa na kupelekea wale watu washangilie ni ya kawaida sana!! Na mengine kwa akili tu ya kawaida, si ya kushangilia. Mfano, naagiza jengo hili na hili liangushwe....eti watu wanashangilia!! Sasa jengo kuangushwa ni jambo la kushangilia kweli? Wanashangilia ili iwe nini?
KOSA LA KIUFUNDI:
Ukiangalia kwa umakini ile clip, utagundua watu wanaopiga kelele kwa maana ya kushangilia wanapatikana sehemu moja au ni kusanyiko la watu wanaopatikana sehemu fulani aidha kusini, mashariki, magharibi au kaskazini. Yaani ni kusanyiko la watu limemzunguka mheshimiwa, lakini wanaoshangilia wanakuwa sehemu moja tu.
Yaani hawa jamaa kila kitu wao ni kuchemsha tu, sijui huwa hawapati muda wa kufanya mpango wa muda mrefu.
Kwenye clip hiyo zilisikika sauti zikishangilia kila alichoongea mheshimiwa, nikawa najiuliza wanashangilia nini? Au sisikii vizuri anachoongea mheshimiwa? Nika-replay ile clip, kwa kweli maneno yaliyozungumzwa na mheshimiwa na kupelekea wale watu washangilie ni ya kawaida sana!! Na mengine kwa akili tu ya kawaida, si ya kushangilia. Mfano, naagiza jengo hili na hili liangushwe....eti watu wanashangilia!! Sasa jengo kuangushwa ni jambo la kushangilia kweli? Wanashangilia ili iwe nini?
KOSA LA KIUFUNDI:
Ukiangalia kwa umakini ile clip, utagundua watu wanaopiga kelele kwa maana ya kushangilia wanapatikana sehemu moja au ni kusanyiko la watu wanaopatikana sehemu fulani aidha kusini, mashariki, magharibi au kaskazini. Yaani ni kusanyiko la watu limemzunguka mheshimiwa, lakini wanaoshangilia wanakuwa sehemu moja tu.
Yaani hawa jamaa kila kitu wao ni kuchemsha tu, sijui huwa hawapati muda wa kufanya mpango wa muda mrefu.