Hizi shangilia shangilia za watu kwa Rais nimezishtukia!

Utadhani Wamerogezewa km wa wazimbabwe kuongoza na MTU aliekwenye machela.
 
Hizo ni ajira, kila aendapo Ngosha hilo kundi la kushangilia lazima liwepo.
Sasa hivi wameongeza kundi la mabango, hili linabeba mabango ya kusifiaz
 
Kuna watu huwa wanaandaliwa na kulipwa kwa hiyo kazi, si unakumbuka ile clip pale Arusha anamuuliza gambo "wako wapi hao watu wako" watu walioandaliwa kumuuliza maswali.

Sijui walipewa hela wakala kona, jamaa alimaind eti pumbaaav, Kwahiyo hata hao washangiliaji ni kina Barbarosa
 
Unatumia nguvu nyingi zisizo na umuhimu kufikiri vitu vidogo sana. Watu wanapenda JPM, usidhani vichuki vyetu vya mitandaoni ndivyo hivyo mitaani. Walalahoi wanamfurahia, achana na wewe mwenye cheti feki. After all Rais Magufuli si type ya watu wanaofanya maamuzi kufurahisha watu, wao wanakubali tu swagger zake.
Kuna mambo ya muhimu yanakushinda kujadili unakalia kujadili mipasho, assume kama watu wasingeshangilia, ingeleta tofauti ipi?

Wewe mtu, mbona unakurupuka sana! mbona una-mention majina ambayo kwenye maelezo yangu hayapo? Aisee, aisee!! kuwa makini na kutaja watu hovyo.
 
Ni utamaduni wa watu wa chama hiki, maana hata wabunge wao wanashangilia kila kitu. Mfano siku waziri mkuu akisema bungeni kuwa si Lisu tu aliyeshambuliwa bali hata Kibiti na Mkuranga watu wengi wameuawa wabunge wao wakashangilia kwa akugonga meza kwa nguvu. Aliposema hata meja wa jeshi alipigwa risasi wakashangilia
Ha ha ha haaaaa , umeongea point Mkuu, hawa sasa ndio NYUMBU, wale wengine wanasingiziwa tu!
 
Kuna watu huwa wanaandaliwa na kulipwa kwa hiyo kazi, si unakumbuka ile clip pale Arusha anamuuliza gambo "wako wapi hao watu wako" watu walioandaliwa kumuuliza maswali.

Sijui walipewa hela wakala kona, jamaa alimaind eti pumbaaav, Kwahiyo hata hao washangiliaji ni kina Barbarosa
Wale walilipwa ili wajifanye "wanaunga mkono jitihada za Rais" kwa kuhamia CCM, ha ha haaaa, cha kushangaza ni kwamba hata THE MAN himself anajua kua ile ni sanaa.
 
Kuna watu huwa wanaandaliwa na kulipwa kwa hiyo kazi, si unakumbuka ile clip pale Arusha anamuuliza gambo "wako wapi hao watu wako" watu walioandaliwa kumuuliza maswali.

Sijui walipewa hela wakala kona, jamaa alimaind eti pumbaaav, Kwahiyo hata hao washangiliaji ni kina Barbarosa
Daaah. Kumbe! afu jamaa kadri anavoshangiliwa ndio anazidi kujaa upepo!
 
Nilikuwa naangalia clip ya mheshimiwa kwa sana.
Kwenye clip hiyo zilisikika sauti zikishangilia kila alichoongea mheshimiwa, nikawa najiuliza wanashangilia nini? Au sisikii vizuri anachoongea mheshimiwa? Nika-replay ile clip, kwa kweli maneno yaliyozungumzwa na mheshimiwa na kupelekea wale watu washangilie ni ya kawaida sana!! Na mengine kwa akili tu ya kawaida, si ya kushangilia. Mfano, naagiza jengo hili na hili liangushwe....eti watu wanashangilia!! Sasa jengo kuangushwa ni jambo la kushangilia kweli? Wanashangilia ili iwe nini?

KOSA LA KIUFUNDI:
Ukiangalia kwa umakini ile clip, utagundua watu wanaopiga kelele kwa maana ya kushangilia wanapatikana sehemu moja au ni kusanyiko la watu wanaopatikana sehemu fulani aidha kusini, mashariki, magharibi au kaskazini. Yaani ni kusanyiko la watu limemzunguka mheshimiwa, lakini wanaoshangilia wanakuwa sehemu moja tu.

Yaani hawa jamaa kila kitu wao ni kuchemsha tu, sijui huwa hawapati muda wa kufanya mpango wa muda mrefu.


Basi tutawashangilia wewe na Mbowe mkiwa pamoja!
 
Mbona ata Lowassa kwenye kampeni alikua anaongea pumba watu wanashangilia,yani akizungusha mikono kama feni wanashangilia...!
 
mtoto wa mbu alitua na kumweleza mama yake jinsi binadamu walivyompigia makofi wakati akiruka kwa mara ya kwanza. Mama mbu akamwambia, 'ushukuru umerudi, hayakuwa makofi, bali walitaka kukuua'.
 
Kuna vitu vinashangaza ni lazima ufanye uchunguzi binafsi.

Mfano si ajabu kwenye kampeni hizi za udiwani ccm kumleta Dr Luis wa Lugumi ili ipate watu wa kuwasikiliza porojo zao kwenye mikutano.
Kwakweli mm binafsi sifanyagi kitu kisicho na manufaa
 
Hiyo kawaida mkuu hata angesema flani auawe bado kuna watu wangeshangilia tu.
Wengine hata siyo kupangwa watu wanapenda kusikia tajiri katumbuliwa au kabomolewa au mali zake zimekatwa
Na wengi wao ni wahuni na wavuta bangi.
Hata kura hawajuagi kupiga.
 
Back
Top Bottom