Hizi picha zina ukweli??

Hizi picha zina ukweli??

Hata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.
 
Na sisi tujitangaze, sio wao tu
Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.

You are strong than what you think...
 
Na sisi tujitangaze, sio wao tu
Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.

You are strong than what you think...
 
Watu tunachangia picha kwa mihemuko bila tafakari yoyote ile.Kunenepa na kupungua ni hali ya kawaida tu katika maisha hata bila msaada wa arv.
Huyo dada labda angeweka na vipimo vyake hapo ningechangia kwa usahihi ila tofauti na hapo huku ni kupiga ramli


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh Haya
Watu tunachangia picha kwa mihemuko bila tafakari yoyote ile.Kunenepa na kupungua ni hali ya kawaida tu katika maisha hata bila msaada wa arv.
Huyo dada labda angeweka na vipimo vyake hapo ningechangia kwa usahihi ila tofauti na hapo huku ni kupiga ramli


Sent using Jamii Forums mobile app

You are strong than what you think...
 
Mungu aniepushe nisipate huu ugonjwa wala ugonjwa unao fanana na huo
 
Back
Top Bottom