Uvelia
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 640
- 1,192
Hizi ARV zimesababisha huu ugonjwa tuuone kama malaria na kujisahau. Bora wangejitangaza tu wote tuwajue.Hata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy
Sent using Jamii Forums mobile app


