godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Kama niivo basi haina haja ya kuzitumia niongeze mwili itanibidi nile sana kuku kwa wingi sasa mpwaNdio Mpwa, Kwahio tayari tunakua na kinga mwilini ya kutosha tu, usiogope kujilipua lakini kabla ya kujilipua fikiria kuhusu watoto wako, familia yako, ndugu zako, mali zako na mateso yake, plus Denial kutoka kwa ndugu. Fanya ile inaitwa Cost benefit analysis
You are strong than what you think...
Mpwa yani haya mambo yaone hivi, sisi tulioamua kuwa na familia ni ngumu mno. Nasemea uhalisia tu, sio kwamba kuna kitu personal.Kaka, mbona Umeongea kwa kuumia Sana? What's wrong? Kikubwa ni kumshukuru Mungu kila ukiamka hujapungua kilo
You are strong than what you think...
Umeona eeh mkuu, ni one aseee!!No one is Safe.... Dah kweli tupu
You are strong than what you think...
Ndo hvyo yan. Ukishaona mapaja na mashavu ya K, ukimcheki usoni macho kalegeza, anatoa mlio wa ajabu ajabu, analia baby ingiza baby ingiza...!!! Daaah, ukipata nguvu ya kuvaa kivazi kweli ww kidume
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app






kwel aisee lazima tu ndei kama kukuView attachment 1062951 kwa mbali namuona nanihii. Nimeziona asubuhi hii nikastuka Kidogo View attachment 1062943View attachment 1062944View attachment 1062945View attachment 1062946View attachment 1062948View attachment 1062949View attachment 1062950
You are strong than what you think...
hahahahIyo kitu hatari Sana mkuu kuna mahali inaweza kata fuse zote ikabaki moja ya chini tu ya rungu!! Mawasiliano yaki rudi amesha fanya yake ndio tafakuri inakuna!!!!
Jaman kwan huyo dada kwenye hiyo picha ni nani maana sie wa mikoani watu wengine wa dar hatuwajui...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa saaaana ndugu yangu! Inatisha saaana! Mwaka Ukiisha bado Umzima unamshukuru Mungu tu! Tunafanya Makosa mengi Sana Sana!Mpwa yani haya mambo yaone hivi, sisi tulioamua kuwa na familia ni ngumu mno. Nasemea uhalisia tu, sio kwamba kuna kitu personal.
Kwa kweli atunusuruHata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hiyo picha ya kwanza iko Instagram jamaa ka post maombi kwa huyu boda boda, yaani kamtamani mpaka anataka ku gongwa na gari..Hata kama picha hazina ukweli, lakini kuna funzo zinatoa kuhusu maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwamba huwezi kumtambua mtu aliyeathirika kwa kumtizama.
Tahadhari za kujikinga dhidi ya maambukizi ni muhimu kuzingatiwa wakati wote. Mathalani ukimtizama mrembo huyo pichani, ikitokea akakurudhuku game, kwa wale mabaharia uwezekano wa kuloweka ni mkubwa sana.
Allah atunusuru Wallahy
Sent using Jamii Forums mobile app