milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,064
Huyo hana mi nakataa
Mkuu MUNGU NI MWEMA dah nimekimbiza Sana gari tari zisha pasuka zaidi ya Mara 10 huu ugonjwa me siuamini kabisa kabisa Ila nadhani unamahusiano makubwa Sana na ubongo ata leo ukihisi tu una ngoma utapungua ata kilo 3 ndani ya week! Me siuwazi kabisa!!Ukipata ngoma mbona Utaacha tu mwenyewe?
You are strong than what you think...
Hahahaha,ila kuna watu wametengeneza hela kwasababu ya huu ugonjwaHatuogopi kufa Tena, business as usual
You are strong than what you think...
Mkuu MUNGU NI MWEMA dah nimekimbiza Sana gari tari zisha pasuka zaidi ya Mara 10 huu ugonjwa me siuamini kabisa kabisa Ila nadhani unamahusiano makubwa Sana na ubongo ata leo ukihisi tu una ngoma utapungua ata kilo 3 ndani ya week! Me siuwazi kabisa!!
Hahahaha,ila kuna watu wametengeneza hela kwasababu ya huu ugonjwa
Inabidi aisee!!Katoe Sadaka ndugu
You are strong than what you think...
Ngoma haina formula...Inabidi aisee!!
Hatari Sana mkuu sidhani kama ni kwenye kutiana tu kuna siri imefichwa hapa!!!!Ngoma haina formula...
You are strong than what you think...
Umetengeneza pesa nyingi hukoMaisha yangu ya kazi nimefanya kwenye NGOs kwenye Projects za UKIMWI. Hahahha
You are strong than what you think...
Hahahaa kiasi chake cha kuweza kutoa SadakaUmetengeneza pesa nyingi huko
Hahaaha
Katoe mkuu kulingana na imani yakoHahahaa kiasi chake cha kuweza kutoa Sadaka
You are strong than what you think...
Kwi! Kwi! Kwi!Hata sijaelewa
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba


Karibu KKKT MABIBOKatoe mkuu kulingana na imani yako
Habari za asubuhi, nawahi Ibadani lakini Ngoja nikujibu Mpwa, Mada yangu haiko biased na hata ukisoma baadhi ya comments zangu nimewakumbusha wachangiaji pia kuwa tunaambukizana.....Mtoa mada na wachangiaji wengi
Ni Kwa nini mnaona wanawake ndio wenye MAAMBUKIZI
Wanawake ndio waambukizaji
Sidhani kama mnatenda haki
JINSIA zote ni wahanga wa Hii kitu
Wako wanaume wachafu wa tabia kuliko Wanawake
Mnanyoa vipara watu wasiwajue mnavaa mashati ya mikono mirefu hata joto like nyuzi 70
Wanaume wanawake Siku hizi wapo tele hawa ndio waambukizaji zaidi kuliko MWANAMKE
Tusiwe bias kwa hili janga.