rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Ngoma sio mkuu...Mdogo mdogo tu, don't worry
You are strong than what you think...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma sio mkuu...Mdogo mdogo tu, don't worry
You are strong than what you think...
Hahahaah Kumbe unamfahamu...Huyo nanihii unayemuona kwa mbali......anasumbuliwa na kisukari sio hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaah Kumbe unamfahamu...Huyo nanihii unayemuona kwa mbali......anasumbuliwa na kisukari sio hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakula hata kama anatumia ARV, si wanasema mnaweza kuoana na msiambukizane pia
Hahahaah Kumbe unamfahamu...
You are strong than what you think...
Hahaha kweli kabisa aiseeeee! Tunapiga story tu but siku ndio uko na kile kikaratasi cha majibu Aaghh utaiona Dunia imekusaliti.
Hatari mnooo...!!! Ila ningetaman sn ngoma ingekuw hata na alama usoni.Dah. Mpwa umeandika kwa msisitizo saaana na Uchungu Sana Sana aiseeee!! Akikupa siku za kwanza utatumia Kondom Halafu baada ya hapo ni kufanya maombi tu! Nawaonea huruma Sana
You are strong than what you think...
Usiogope kuisha mkuu, vita ni vita heri shari kamili kuliko nusu shari. Kwa hali ilivyo wengi ni wagonjwa na wamenona haswaa.
Haisaidii kitu... Twende siku ya Clinic yao then uangalie vifaa vilivyotulia, lazima Itasimama tu kisha unamuona anachukua dawa zake! Ni kujitambua tu Nadhani....Hatari mnooo...!!! Ila ningetaman sn ngoma ingekuw hata na alama usoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiogope kuisha mkuu, vita ni vita heri shari kamili kuliko nusu shari. Kwa hali ilivyo wengi ni wagonjwa na wamenona haswaa.
Mkuu, ni nani huyu? Hem' tupe japo details sisi tusiojua kitu.Hahahaah Kumbe unamfahamu...
You are strong than what you think...
Ukienda kwenye klinic za huu ugonjwa unaweza usiamini watu unaowaona pale....watanzania tumezoea kila unaposafiri kwenye basi kwenda mkoan ukikaa na mwanamke unawaza kumtafuna...vip utasafiri mara ngap na kutafuna wangap...
Hahah Tuache kabisa? Hapana, Hakuna sex nzuri Kama kuwa na mtu unayempenda! No matter what, mbebe huyo kila unapokwenda!Mkuu, ni nani huyu? Hem' tupe japo details sisi tusiojua kitu.
Mungu atusaidie, tuwe waaminifu, tutumie kinga au "tuache ngono kabisa".
Kwahiyo kama mnavyoona wenyewe, lengo la ARV ni kuhakikisha mgonjwa anausambaza 'Ukimwi' kwa watu wengi zaidi na kwa muda mrefu zaidi ili kuhakikisha madawa mengi zaidi ya ARV yanauzwa ili kuhakikisha faida za kutosha toka kwa watumiaji wa dawa hizo.
Yaani picha ya kwanza kakoswakoswa na Gari bado hakomi, picha ya pili anakaribia kuingia mtaroni, boda Boda na wanawake bhana!me nmemwelewa boda boda Wa kweny picha ya kwanza