Hizi ndoa wengine tunaziotesha mbawa wenyewe

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,732
215,909
Wazima jamani,

Leo Friday the 13th si siku nzuri kwa jamii nyingine.

Story ni ya shost, huyu alikuwa na akili shule, wote tuliinua mikono. Hesabu alikuwa anamwachia mwalimu labda 10 au tano, wakati wengine tumetoka na pass tu mshenzi huyu alikuwa anakung'uta 90-95%. Basi shost alisoma PCM na baada ya hapo alikwenda kwenye zile fani zenye wanawake wachache.

Shost huyu hajipendi, tulifikiri akipata kazi atabadilika, siku nimekutana nae Dar ananiambia ameolewa na watoto watatu khe tulifurahiana, kwani ni muda mrefu yeye si alipata scholar ship zile za serikali, alikwenda nchi flani hivi na amerudi yuko wizara flani.

Story ilikuwa shost katika mikutano huko alikutana na mkaka wale design ya dream za wengi, kijana handsome msomi, basi kijana alikuwa anatafuta mwanamke mwenye shule ya uhakika, kumuoana bidada si aliamini atambadilisha tu.

Yule dada anaweza kuvaa nguo kazini siku tatu hajabadili. Mume alianza kwa kumfanyia shopping, anaongea na wale wadada wanaofanya biashara ya nguo anahakikisha wife ana nguo up to date, hola zinabaki zimetundikwa kabatini.

Mume alikoma kutafuta msomi, msomi huyu alikuwa msomi na kitabu. Akitoka kazini ni kitabu, usiku anaamka ni kuandika ripoti za kazini. Vimekwenda, mume alimpata mtoto ndiyo kwanza amemaliza form six, akaanza kuchepuka. Lakini anampenda mkewe, amemshauri basi badilika hola.

Mwisho mume alimwambia wazi, tuendelee kulea watoto mimi na wewe basi. Haya mambo ya kudhani unaweza kumbadilisha mtu mzima ni kujidanganya.

Sky Eclat.
 
Wazima jamani,

Leo Friday the 13th si siku nzuri kwa jamii nyingine.

Story ni ya shost, huyu alikuwa na maakili shule, wote tuliinua mikono. Hesabu alikuwa anamwachia mwalimu labda 10 aur tano, wakati wengine tumetoka na pass tu mshenzi huyu alikuwa anakung'uta 90-95%. Basi shost alisoma PCM na baada ya hapo alikwenda kwenye zile fani zenye wanawake wachache.

Shost huyu hajipendi, tulifikiri akipata kazi atabadilika, siku nimekutana nae Dar ananiambia ameolewa na watoto watatu khe tulifurahiana, kwani ni muda mrefu yeye si alipata scholar ship zile za serikali, alikwenda nchi flani hivi na amerudi yuko wizara flani.

Story ilikuwa shost katika mikutano huko alikutana na mkaka wale design ya dream za wengi, kijana handsome msomi, basi kijana alikuwa anatafuta mwanamke mwenye shule ya uhakika, kumuoana bidada si aliamini atambadilisha tu.

Yule dada anaweza kuvaa nguo kazini siku tatu hajabadili. Mume alianza kwa kumfanyia shopping, anaongea na wale wadada wanaofanya biashara ya nguo anahakikisha wife ana nguo up to date, hola zinabaki zimetundikwa kabatini.

Mume alikoma kutafuta msomi, msomi huyu alikuwa msomi na kitabu. Akitoka kazini ni kitabu, usiku anaamka ni kuandika ripoti za kazini. Vimekwenda, mume alimpata mtoto ndiyo kwanza amemaliza form six, akaanza kuchepuka. Lakini anampenda mkewe, amemshauri basi badilika hola.

Mwisho mume alimwambia wazi, tuendelee kulea watoto mimi na wewe basi. Haya mambo ya kudhani unaweza kumbadilisha mtu mzima ni kujidanganya.

Sky Eclat.
Huyo bwana alikuwa mzinzi tu, mtu wa ndoa, unayethamini ndoa, uchafu wa mke hauwezi kuvunja ndoa katu. Mzinzi tu! Nitafanya mwenyewe!
 
Huyo bwana alikuwa mzinzi tu, mtu wa ndoa, unayethamini ndoa, uchafu wa mke hauwezi kuvunja ndoa katu. Mzinzi tu! Nitafanya mwenyewe!
Mkuu alikuwa ni wale vijana watanashati bishoo flani, sasa hata ile kwenda kumchukua wife for lunch unajifirikia leo atakuwa amevaa nini?
 
Mkuu alikuwa ni wale vijana watanashati bishoo flani, sasa hata ile kwenda kumchukua wife for lunch unajifirikia leo atakuwa amevaa nini?
Unamchukulia mdada wa kazi anafua nguo etc na mnataka kutoka unamuomba avae nguo fulani.
 
Wewe kila stori ni shost wako, inaelekea una mashosti wa ajabu kweli
 
Back
Top Bottom