Hizi ndo pep?

Hizi ndo pep?

Screenshot_20250323_184249_Chrome.jpg
 
Zinasaidia nn?
Kuingiza mimba iliyogoma kuingia zinatumiwa sana na wanaopenda kutombwa kavu kavu na hawataki mimba kwa hio huwa wanameza hizo kwanza ili kuboost uwezekano wa kutokupata mimba, vipi unataka kuonja kisha niku tujaribu kutest km kweli zinafanya kazi?
 
PEP ni 'post exposure prophylaxis' ni dawa zinazotumika kwa watu ambao wana wasiwasi wa kuambukizwa ukimwi. Kama vile nurse kugusa damu ya mgonjwa wa ukimwi, na hizi ndizo dawa zenyewe za ukimwi. Tofauti ni mtu kuzitumia kwa mwezi mmoja tu.
Zile za kabla PreP au!?.. nataka zile za kabla ya maambukizi Ili nizagamue kavu,UTI ntatibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom