Hizi ndo pep?

Hizi ndo pep?

Everything is right mkuu ni kwamba hawafanyi kazi jmosi na jumapili so siwezi subiri kuna njia nikapita kuzipata kwa mtu then ndo nazihakiki
Ukienda hospital za serikali watakupa za kuanzia hata 3 ili uje siku/saa za Kazi wakupe counselling na watu wenye Ukimwi. Aisee hiyo experience NI hatari sana
 
Kama inaweza kuzuia maabukizi kwa 48 hrs,kwa nini hawazi upgrade zuzuie kwa muda wote???
Zipo zinazozuia zinaitwa PrEP (Pre Exposure Prophylaxis),hutumiwa zaidi na makundi hatarishi kupata VVU kama madada poa au makaka poa na watu wenye multiple partners wengi, ila lazima utumie kila siku kama ARVs.

Na ukianza kutumia inachukua siku saba mpaka ianze kufanya kazi effectively.
 
Kama inaweza kuzuia maabukizi kwa 48 hrs,kwa nini hawazi upgrade zuzuie kwa muda wote???
Biashara matangazo hauzuiliki hata kwa condoms za Bati hapo ukipon na Perp ni Mungu tu kaepusha janga ila wapo wanaomeza na kitu inapenya ndani imo
 
Zile za kabla PreP au!?.. nataka zile za kabla ya maambukizi Ili nizagamue kavu,UTI ntatibu
Kavu sikuhizi imewekwa kundi la mihadarati, inauzwa kimagendo kwa bei chafu.

Kama hauna hela ama wewe ni lofa lofa, basi utagaiwa pipi ule na ganda lake tena kwa kususiwa kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom