Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
MUHIMU - Kila timu inapewa pesa ya nafasi iliyofikia na sio kila hatua, ikiwa timu itaomba pesa za usafiri, malazi, vyakula, n.k. Mashindano yakiisha watalipwa kiasi kilichobakia baada ya kutoa fedha walizopewa.
US$ 1 = shilingi 2,545 Tshs
BINGWA:
US$ 4 million
Shilingi bilioni 10 na milioni 180
MSHINDI WA PILI:
US$ 2 million
Shilingi bilioni 5 na milioni 90
KILA TIMU ITAYOISHIA NUSU FAINALI:
US$ 1.2 million
Shilingi bilioni 3 na milioni 54
KILA TIMU ITAYOISHIA ROBO FAINALI:
US$ 900,000
Shilingi bilioni 2 na milioni 290
KILA TIMU ITAYOISHIA HATUA YA MAKUNDI:
US$ 700,000
Shilingi bilioni 1 na milioni 781
US$ 1 = shilingi 2,545 Tshs
BINGWA:
US$ 4 million
Shilingi bilioni 10 na milioni 180
MSHINDI WA PILI:
US$ 2 million
Shilingi bilioni 5 na milioni 90
KILA TIMU ITAYOISHIA NUSU FAINALI:
US$ 1.2 million
Shilingi bilioni 3 na milioni 54
KILA TIMU ITAYOISHIA ROBO FAINALI:
US$ 900,000
Shilingi bilioni 2 na milioni 290
KILA TIMU ITAYOISHIA HATUA YA MAKUNDI:
US$ 700,000
Shilingi bilioni 1 na milioni 781