Una hatari weye!Umekuwa mkweli hadi unatisha.😂😂😂😂Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Anatuzingua huyu😀Una hatari weye!Umekuwa mkweli hadi unatisha.😂😂😂😂
Kwani wewe ni mwanaume? Nilivyoelewa ni kuwa mleta mada anaongelea starehe kubwa za wanaume, na sio starehe kubwa kwa wanaume na wanawake.Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Yeye katueleza hisia zake.Ni juu yako kupuuza au kumshawishi aendelee kutuletea porojo 😂😂😂Pombe ni starehe gan sasa !!? Ni ujinga tu wanawake pia waweke kwenue mkato coz hawapo specific for you bt fpr money
Weka pesa mbele apo fala ww
Maana ya Starehe ni vitu vya kukuflahisha ambavyo sio vya lazima.Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Umeeleza vema.Lakini sisi wataalamu wa "kinyachusa" tunaomba utumie au urekebishe hapo kwenye matumizi ya "voluntary na involuntary" mkuu!😂😂😂Maana ya Starehe ni vitu vya kukuflahisha ambavyo sio vya lazima.
Kunya ni wanaita voluntary yaani mambo ambayo umepangiwa na muumba wako kama kulala usingizi au kufa.
Starehe ni involuntary yaani ni maamuzi yako kufanya au kuacha. Mtoa mada yuko sahihi starehe ni
1. Pombe
2. Mahusiano ya mwamke au mwanamme.
Mambo ya Kula, Kulala,Kuoga, Kupumzika, Kujamba, Kunya ni ya tabia za viumbe hai. Sio Starehe. Sekondari waliitaga characteristics of living organisms.
Ongezea na nyama choma.Wakuu katika dunia hii, ukiwa na pesa kuna starehe kubwa mbili ambazo mwanaume kamili huwezi kwepa kujihusisha nazo eidha zote mbili kwa pamoja ama uchugue moja
Starehe hizi ni
1. POMBE
2. WANAWAKE
Nawasilisha
Ametusahau kabisa sisi watawa.Awe "fea"!Ongezea na nyama choma.
Walwa, nyoo na nyama
LikeUmeeleza vema.Lakini sisi wataalamu wa "kinyachusa" tunaomba utumie au urekebishe hapo kwenye matumizi ya "voluntary na involuntary" mkuu!
Matendo ya hiyari na yaso hiyari.Like
Agh wapiii...!! Umetoka kula zako mapera useme ni starehe..!! Hapana aiseeHakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Kunya kuna starehe gani?Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Napenda wanawake wenyewe matako manene na miguu ya bia kiuno nyiguWakuu katika dunia hii, ukiwa na pesa kuna starehe kubwa mbili ambazo mwanaume kamili huwezi kwepa kujihusisha nazo eidha zote mbili kwa pamoja ama uchugue moja
Starehe hizi ni
1. POMBE
2. WANAWAKE
Nawasilisha
Zinawahusu wanaume wewe subiri kukazwa na ukanyweHakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Hiyo kwako mamaHakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu