Mtu kama huyu unamsaidiaje?

Mtu kama huyu unamsaidiaje?

Holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
8,708
Reaction score
19,586
1. Ni kijana mwenye takriban miaka 28

2. Hapo mwanzo alikuwa ameoa na watoto watatu, ana mashamba makubwa ya mpunga na mahindi, ng'ombe, pikipiki yake

3. Shamba lilikuwa na rutuba akilima mahindi anapata magunia 40 kila mwaka 4. Alianza ujenzi wa nyumba yenye 4rooms alifikia hatua ya lenta

. 5. Mwaka juzi akaingia mahusiano na mke wa mtu, akamuiba huyo mke wa mtu akaenda kijiji cha mbali kidogo, nyumbani mke wake akadai taraka na wakagawana kila kitu, nyumba, mashamba, ng'ombe na kila kitu.

6. Kwa sasa ana pikipiki ya mkataba anaendesha bodaboda, amepanga huku akimuhudumie mkewe aliyekuwa mke wa mtu, kwani mpaka sasa ni mgonjwa.

7. Je, kama kijana mwenzako, unamsaidiaje?
 
1. Ni kijana mwenye takribani miaka 28 2. Hapo mwanzo alikuwa ameoa na watoto watatu,ana mashamba makubwa ya mpunga na mahindi,ana ng'ombe,ana pikipiki yake 3. Shamba lilikuwa na rutuba akilima mahindi anapata magunia 40 kila mwaka 4. Alianza ujenze wa nyumba yenye 4rooms alifikia hatua ya lenta. 5. Mwaka juzi akaingia mahusiano na mke wa mtu,akamuiba huyo mke wa mtu akaenda kijiji cha mbali kidogo,nyumbani mke wake akadai taraka na wakagawana kila kitu,nyumba,mashamba,ng'ombe na kila kitu. 6. Kwa sasa anapikipiki ya mkataba anaendesha bodaboda,amepanga huku akimuhudumie mkewe aliyekuwa mke wa mtu,kwani mpaka sasa ni mgonjwa. 7. Je,kama kijana mwenzako,unamsaidiaje?
Mwache tu
 
1. Ni kijana mwenye takribani miaka 28 2. Hapo mwanzo alikuwa ameoa na watoto watatu,ana mashamba makubwa ya mpunga na mahindi,ana ng'ombe,ana pikipiki yake

3. Shamba lilikuwa na rutuba akilima mahindi anapata magunia 40 kila mwaka 4. Alianza ujenze wa nyumba yenye 4rooms alifikia hatua ya lenta

. 5. Mwaka juzi akaingia mahusiano na mke wa mtu,akamuiba huyo mke wa mtu akaenda kijiji cha mbali kidogo,nyumbani mke wake akadai taraka na wakagawana kila kitu,nyumba,mashamba,ng'ombe na kila kitu.

6. Kwa sasa anapikipiki ya mkataba anaendesha bodaboda,amepanga huku akimuhudumie mkewe aliyekuwa mke wa mtu,kwani mpaka sasa ni mgonjwa.

7. Je,kama kijana mwenzako,unamsaidiaje?
Tatizo alishindwa kufunga zipu na kucontrol hisia zake za mapenzi.
 
Nilitaka kusema apigwe makofi nikagundua kumbe dunia ndio inampiga makofi kwa style hiyo.... Ni hayo tu asanteni
 
CCM ndio kimbilio lako la milele.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom