Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
View attachment 149614
siamini macho yangu
siamini macho yangu
Kwani kuna tatizo kwa mtoto kuweka kwenye Sanduku karatasi ya Kura iliyopigwa na baba yake???View attachment 149614
siamini macho yangu
Kwani kuna tatizo kwa mtoto kuweka kwenye Sanduku karatasi ya Kura iliyopigwa na baba yake???
Ama unataka tu kuwaaminisha watu kwamba huyo mtoto alipiga kura?....
Acha upotoshaji mkuu....
Utajisikiaje 2015 vituo vya kupigia kura vikajaa watoto wanaopigia kura wazazi wao?Kidumu chama cha Mapinduzi. wanatafuta kichaka cha kujificha. Kalenga Mlipata asilimia 12.5 mkitumia Chopa, Msoga mmepata 10.5 kwa hiyo matumizi ya Chopa huleta Difference ya 2% ya Kura. Wazee wa Pwani mngewapelekea Mini kabang wa Arusha mjini mngeweza walau kufikisha 15%.
Kwani kuna tatizo kwa mtoto kuweka kwenye Sanduku karatasi ya Kura iliyopigwa na baba yake???
Ama unataka tu kuwaaminisha watu kwamba huyo mtoto alipiga kura?....
Acha upotoshaji mkuu....
Ndg zangu kisheria hapo Ridhiwani hakupiga kura aliyepiga kura ni huyo mtoto. kama unajua maana ya ku-cast vote in the Ballot box basi hapa ndio unaona Ridhiwani pamoja na kusoma sheria bado analeta mambo ya kitoto kwenye issue ambazo hazihitaji mzaha........kwa picha hiyo ni dhahiri uchaguzi wa jimbo la Chalinze ni batiri wala haihitaji nguvu nyingi, labda aseme hiyo picha ni photo shop imetengenezwa. tunasubiri aapishwe kesi tayari ataiona MahakamaniView attachment 149614
siamini macho yangu