Hizi Ndio Siasa za Bongo-Hata Mtoto Ruksa Tu

Hizi Ndio Siasa za Bongo-Hata Mtoto Ruksa Tu

Na mimi siku ya kupiga kura kwa yule mbunge wangu ambae najua atakufa hivi karibuni nitaenda na Wanangu, mbwa na Nguruwe.....si kupiga?
 
Na mimi siku ya kupiga kura kwa yule mbunge wangu ambae najua atakufa hivi karibuni nitaenda na Wanangu, mbwa na Nguruwe.....si kupiga?

Tumefunikwa na koti la kiimla
 
Na mimi siku ya kupiga kura kwa yule mbunge wangu ambae najua atakufa hivi karibuni nitaenda na Wanangu, mbwa na Nguruwe.....si kupiga?
Hata ukienda na kuku shauri yako lakini moto utauona uko pale pele mtashindwa tena.
 
hiyo picha haitaki simple mind
Unajua zoezi la kupiga kura ni mchakato wote, kuanzia kuhakikisha jina la mpiga kura, kuchukua karatasi ya kupiga kura, kuchagua mgombea unayemtaka, kuweka karatasi ya kura kwenye sanduku stahiki. Sasa kwenye sifa za mpiga kura ambazo ziko wazi, miaka 18, sijui huyo mtoto kaingia kwa kigezo kipi?Au ndio kufikisha ujumbe wa mahusiano mapya kati ya serikali na ukoo wao?
 
Na mimi siku ya kupiga kura kwa yule mbunge wangu ambae najua atakufa hivi karibuni nitaenda na Wanangu, mbwa na Nguruwe.....si kupiga?

Mtu mwingine angefanya hicho kitendo huenda sasa hivi angekua nje kwa dhamana. Huenda vilevile ikaonyesha dalili ya matumizi mabaya ya madaraka, ni mtazamo wangu tu!
 
Unajua zoezi la kupiga kura ni mchakato wote, kuanzia kuhakikisha jina la mpiga kura, kuchukua karatasi ya kupiga kura, kuchagua mgombea unayemtaka, kuweka karatasi ya kura kwenye sanduku stahiki. Sasa kwenye sifa za mpiga kura ambazo ziko wazi, miaka 18, sijui huyo mtoto kaingia kwa kigezo kipi?Au ndio kufikisha ujumbe wa mahusiano mapya kati ya serikali na ukoo wao?
kwa kweli bado najiuliza maswali mengi sana na ii picha na nasikitika GT wakija na hoja nyepesi, asante Samaritan
 
Mtu mwingine angefanya hicho kitendo huenda sasa hivi angekua nje kwa dhamana. Huenda vilevile ikaonyesha dalili ya matumizi mabaya ya madaraka, ni mtazamo wangu tu!

au hata angefanya wa upinzani na akashinda...wapi Lukuvi...............
 
kwa kweli bado najiuliza maswali mengi sana na ii picha na nasikitika GT wakija na hoja nyepesi, asante Samaritan

Nasikitika watu wanaihusisha hii picha na CDM kushindwa kwenye uchaguzi wa Chalinze, wakati mwingine ni vizuri kuelewa kwamba sio kila anayechangia mada ni CDM au CCM ila ni mwananchi mwenye haki ya kutoa maoni au kuwasilisha hoja na huenda akawa na kadi ya kupigia kura.

Tunajadili mambo ya kisiasa sawa lakini sio vizuri kupeleka kila kitu kisiasasiasa.
Leo tunashangilia hilo tukio la mtoto kuhusishwa na zoezi la upigaji kura, nani anajua kesho nini kitatokea na nani atahusishwa na kitu gani kwa kisingizio cha kuwa mwanafamilia au kuwa na mahusiano na Ridhwani? Kinachotupa wasiwasi hapa ni huo ujasiri au hulka ya kuhusisha watu wa karibu/ndugu jamaa kwenye mambo yanayohusu uongozi/madaraka.
 
picha inatoa taswira ya mzaha, hata kitendo cha Riz 1 kugombea tu ni mzaha tosha, achilia mbali kuja na mtoto.
 
Back
Top Bottom