under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
ukikuta wameinama na wewe unainama kimyakimya.
Karibu sana, umetokea wapi?
ukikuta wameinama na wewe unainama kimyakimya.
Singida nini?Maneno "ibiri" hiyo kaka, unajua ni pande za wapi hizo mkuu??
Singida nini?
yani sisi kikwetu ukikuta jamvini watu wanakamua bhana, we unazama zako kimyakimya tu na kuendeleza makamuzi, habari za huko ulikotokea ni mpaka wao wenyeji ndo waanze kwanza kukuuliza!!
unajibu ...
Ile ni Ipili bwana kama ni mboka,mie mwenyeji ujue.... kitu 'mboka_manyema' iyo mzee mkubwa!
Ni kweli haya mambo.yani sisi kikwetu ukikuta jamvini watu wanakamua bhana, we unazama zako kimyakimya tu na kuendeleza makamuzi, habari za huko ulikotokea ni mpaka wao wenyeji ndo waanze kwanza kukuuliza!!
unajibu ...
Ile ni Ipili bwana kama ni mboka,mie mwenyeji ujue.
Unataka kuzikana mila zako sasa.
Haya na tujumuike basi. Tutakuuliza kujitambulisha wakati mwengine.
Ile ni Ipili bwana kama ni mboka,mie mwenyeji ujue.