ngivingivi
Senior Member
- Mar 29, 2013
- 189
- 107
Thinking capacity babakwanini lisikosolewe wakati nchi hiihii kuna viongozi wamezuia likizo kwa watumish?
Thinking capacity babakwanini lisikosolewe wakati nchi hiihii kuna viongozi wamezuia likizo kwa watumish?
Umekurupuka!Hata kwa watumishi wa umma wa kawaida nani aliekuambia wote wanachukua likizo mwisho wa mwaka? Si kuna wakati ungekosa huduma siku 28 wafanyakazi wote wa benki, hospital, majeshi yote na taasisi zingine wangekuwa likizo?
Sio kila kitu mnaropoka?
WeweKwani nani anayesain fomu yake ya likizo?
Unapozungumza fact unayotaka ikubalike na kuheshimika,epuka neno labda.labda kwa baadhi ya taasisi za serikali ila kwa ninayoijua mimi,weekend na holidays haziesabiwi kwenye annual leave ndo maana watu huwa wanagombea mwezi wa 12 maana una holidays nyingi so badala ya siku 28 unapata mpaka 40+
Hakuna hoja yoyote huwezi kufananisha kazi anazofanya Raisi huyu na mtu yeyote, kwanza sijui kama unajua kwamba huwa kazini 24/7 including holidays surtuday and Sunday. So please don't compare our President with any creature.Hapo kuna hoja lakini kwa sababu ya ushabiki itapotezwa!
Tell themMida mingine tuwe positive naona hawa Marais wengi wa Kiafrika hawachukui likizo kwa maana halisi bali wanaenda kwao kutembelea ndugu!hata wakiwa hiyo "likizo" bado wanafanya kazi za kijamii au kisiasa;
Hao wengine wote lazima wampe ripoti yeye kila siku babaDhana ya kwamba kila kitu anaangaliwa yeye ni dalili ya udikteta kwani hakuna ofisi zinazofanya kazi hizo hadi yeye awe kama ndo kila kitu??
Mkuu hao sio Watumishi wa serikali. Serikalini kuna siku 28 tu za likizo inclusive of weekend or holidays ambazo unaweza kuchukua kidogo kidogo kama anavyofanya Mh. Rais. kuna ofisi huwezi kuondoka hata kwa siku 14 tu. Zikizidi 28 maan yake ni malimbikizo ya likizo ambazo mtu anakuwahajachukua huko nyuma.labda kwa baadhi ya taasisi za serikali ila kwa ninayoijua mimi,weekend na holidays haziesabiwi kwenye annual leave ndo maana watu huwa wanagombea mwezi wa 12 maana una holidays nyingi so badala ya siku 28 unapata mpaka 40+
Likizo ni wiki nne (28 siku).Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)
Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4
Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?
Tumie kiswahili tu,hiz lugha za watu,zinawasumbua.Unataka kujifananisha na mfalme? Mtu ambaye ardhi yoote ya nchi iko chini ya himaya yaje? My dear there is a hughe difference btw the master n the skave, the gorvenir n the governed.
Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)
Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4
Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?
Yawezekana ukawa punguani maana unaeleweshwa hauelewiKama anaenda likizo achukue mwezi kueleweke na asubiri hadi mwaka uishe ndio arudi kwao, sasa kila mtumishi akiwa anajichukulia siku 3 then anarudi kazini hali itakuwaje
Sio kila baada ya muda mfupi anarudi chato
Sio kweli.Mfalme huingia madarakani kwa urithi,Tanzania huingia kwa mujibu wa Katiba na Sheria.Kwetu katiba ndio mfalme,Rais ni zao la katiba.Acheni upotoshaji na ndivyo pengine anavyofikiria.Ndio dhana ya udikteta inapokuja Rais kudhani ni Absolute Monarch while ni constitutional presidency.Unataka kujifananisha na mfalme? Mtu ambaye ardhi yoote ya nchi iko chini ya himaya yaje? My dear there is a hughe difference btw the master n the skave, the gorvenir n the governed.
Hujitambui wewWe utamlinganishaje rais JMT na watumishi wengine, huna adabu kabisa!!!
Wali kitimoto wewHakuna hoja yoyote huwezi kufananisha kazi anazofanya Raisi huyu na mtu yeyote, kwanza sijui kama unajua kwamba huwa kazini 24/7 including holidays surtuday and Sunday. So please don't compare our President with any creature.
Kwanza Rais pale Chato ukienda saivi utakuta bendera ya Rais inapepea nyumbani kwake hivyo inamaanisha yupo kazini alafu Rais ni taasisi sio mtu.