Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Hqtuzungumzii kujua , tunataka kufahamu sheria inasemajelabda kwa baadhi ya taasisi za serikali ila kwa ninayoijua mimi,weekend na holidays haziesabiwi kwenye annual leave ndo maana watu huwa wanagombea mwezi wa 12 maana una holidays nyingi so badala ya siku 28 unapata mpaka 40+