Hizi likizo za Rais Magufuli ni tofauti na watumishi wengine?

Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)

Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4

Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?

Sawa kaenda sio chini ya mara nne tuambie mara hizo zito katumia siku ngapi!! Kana wakati si vibaya kuficha ujinga wako kwa sababu sio dhambi kufanya hivyo! Unajilinganisha na Rais wa nchi?! Hilooo!
 
Mfalme ni kitu kingine kabisa hata roho yako yaweza kupona au kuangamia kwa neno la mfalme!
 
sijaona tatizo....ye huwa haendi mwezi+ kama watumishi wengine....so hata kama anaenda siku tatu kila mwezi bado hafikii jumla ya siku za likizo za annual ambazo huwa hazijumlishi weekend na holidays....NB:sio kila kitu ni chakukosoa
Holidays na weekends zote huhesabiwa kwenye annual leave .pitia labour law.
 
Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)

Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4

Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?
Kikwete alipokuwa anasafiri kila siku nje ya nchi hamkuliona huyu anaefanya kazi kwel, kila siku mnamsema.
Kweli wa TZ tuwanafiki kuliko neno unafiki.
 
mzee baba si alisema hapangiwi wala hashauriki so yeye ndiye anaye amua mwenywe,,,,Tz kaitia mfukoni
 
Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)

Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4

Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?

Kwani ' logically ' tu ' status ' ya Kiutendaji ya Marais wote duniani huwa inafanana na Watendaji wengine waliopo chini yao? Miswahili sijui tupoje!
 
Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)

Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4

Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?
Yan tuna shughuli Awamu ya 5!
 
Ukishamchukia mtu obvious kila kitu utaona anakosea tu...mtoa mada ana chuki
 
Watumishi wengi wa serikali kawaida husain likizo zao mara moja kwa mwaka au mara mbili(i stand to be corrected)

Inafahamika wazi rais ni sehemu ya utumishi wa umma, tangu huu mwaka uaenze amekwenda kwao Chato kwaajili ya mapumziko (likizo) si chini ya mara 4

Je hivi likizo zake ziko tofauti na watumishi wengine katika nchi hii?
Vipi malipo ya likizo zake nani huzigharamia?

Mkuu, likizo yake hugawanywa kwa siku siku, mfano anaweza kukaa Chattle siku 6 then wanatoa katika siku 28 na kubaki 22. Then akienda siku kumi zinabaki 12 hivyo hivyo hadi zinaisha Mkuu. Kuhusu malipo hiyo sijui Mkuu.
 
Bavicha wamekosa hoja wanaanza kudandia hoja za kitoto, shenzi zenu
 
Kama anaenda likizo achukue mwezi kueleweke na asubiri hadi mwaka uishe ndio arudi kwao, sasa kila mtumishi akiwa anajichukulia siku 3 then anarudi kazini hali itakuwaje

Sio kila baada ya muda mfupi anarudi chato
Hata kwa watumishi wa umma wa kawaida nani aliekuambia wote wanachukua likizo mwisho wa mwaka? Si kuna wakati ungekosa huduma siku 28 wafanyakazi wote wa benki, hospital, majeshi yote na taasisi zingine wangekuwa likizo?

Sio kila kitu mnaropoka?
 
Kama anaenda likizo achukue mwezi kueleweke na asubiri hadi mwaka uishe ndio arudi kwao, sasa kila mtumishi akiwa anajichukulia siku 3 then anarudi kazini hali itakuwaje

Sio kila baada ya muda mfupi anarudi chato
Kuna tofauti kubwa sana ya kuchanganua mambo, basi sawa
 
Back
Top Bottom